wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,172
- 1,128
Yuko safariniHarmorapa na yeye hakuja kutoa pole...???[emoji134]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko safariniHarmorapa na yeye hakuja kutoa pole...???[emoji134]
Posibility ni kwamba ruge anawajua wahusika... ni suala la kuwataja tu.
kwenda wapy?Yuko safarini
Nami nipo pamoja na wewe watakuwa wameachiwa kwa masharti makali,hawawez kuelezea watamalizwaHawawezi kueleza walikuwa wapi zaidi ya kusema tunaliachia jeshi la Police lifanye kazi yake.
Kama huamini 'tubet' kiongoz.
Hata siwezi kubet. Kuna mambo mengi hapo yanahusika. Huenda wanaogopa kuongea ukweli maana wametishiwa kuuwawa kamawataongea ukweli. Au wanaweza wakawa wamepewa mamilioni ili wasiongee ukweli. Yote hayo yapo. Tusubiri. Ila ROMA ni jasiri sasa tusikilize ujasiri wake atauonesha pua kesho?. Bashite na vibaka wake wataishia kubaya sana. Muda utaamuaHawawezi kueleza walikuwa wapi zaidi ya kusema tunaliachia jeshi la Police lifanye kazi yake.
Kama huamini 'tubet' kiongoz.
Ukijua itakusaidia nini?My take,
Roma anaweza akawa amepigwa biti asiseme alikuwa amefichwa wapi, lakini naamini Ruge ndiye mtu sahihi wa kumuhoji hawa madogo walikuwa wapi??
Kama alihangaika nao kuanzia asubuhi ya Jana mpaka usiku ni wazi kuwa anajua aliwahangaikia wapi na kwa Muda gani. Ruge kwenye hili wewe ndo utasema ukweli.
Ombi:
Ruge Kama utafanya lolote kumuokoa yeyote kwenye hili Tope, Muda ndo uatakaoamua mustakabali wa biashara yako.
[HASHTAG]#kumbukauvamizi[/HASHTAG]
Heading isomeke ".............tupo pamoja nae"
[emoji16][emoji16] yuko Mtama anatoa support kwa Nape [emoji114][emoji114][emoji119]kwenda wapy?
bi mkubwa haupumzki? au haukunwagi na morning glory asubuh? naona ushakodoa macho mapema= tusubiri
Wanatuchezea akili yetu kama wanajua walipatikana toka sa tisa kwa sirro walienda kufanya nini asubui ilemimi jamn sjaelewa hapo kuhusu kutajwa kwa ruge na mnayoyaongea???
mimi nilivyosikia kuwa walipatikana saa 9 usiku so na kwa kuwa j murder alimuomba boss rg amsaidie basi ndo maana akasaidia nao tangia asubuhi na ndo maana ametajwa kiivo
ebu nisaidieni kwa mlio elewa zaidi ya hapo jinsi ya ku connet dots
Hata siwezi kubet. Kuna mambo mengi hapo yanahusika. Huenda wanaogopa kuongea ukweli maana wametishiwa kuuwawa kamawataongea ukweli. Au wanaweza wakawa wamepewa mamilioni ili wasiongee ukweli. Yote hayo yapo. Tusubiri. Ila ROMA ni jasiri sasa tusikilize ujasiri wake atauonesha pua kesho?. Bashite na vibaka wake wataishia kubaya sana. Muda utaamua
akaze buti labda atatokaaa[emoji16][emoji16] yuko Mtama anatoa support kwa Nape [emoji114][emoji114][emoji119]
Kwa kifupi kuna kila aina ya Maelezo hapo. Ila ukweli wanaujua watekwaji pekee. Wakificha watakuwa wamewavunja moyo watanzania waliojitoa kupaza sauti kwa ajili yaoPia inawezekana hata Watekwaji wameshiriki kwny Hilo Igizo. Mbongo sio Mtu wa kuwekewa dhamana, can do anything!
Kama watakuwa wameshiriki..... Imekula kwa Wengi.Pia inawezekana hata Watekwaji wameshiriki kwny Hilo Igizo. Mbongo sio Mtu wa kuwekewa dhamana, can do anything!
aminaTunashukuru mungu mkubwa
Kama watakuwa wameshiriki..... Imekula kwa Wengi.