Mission kama ile ya kuteka kituo cha radio na tv mbele ya cctv camera.Inaonekana ni akili ileile na watu ni walewale.Same shit different day.Joyce Wowowo na baba yake watakuwa wanajua.Yaani mkuu ile utekaji hata mtoto wa std7 anaweza akawazidi akili....
Unakwenda kuwa chukua watu usiowajua??
Unakwenda na Noah yenye siti7, afu mpo watano?? So una siti2 tu tupu.
Unachukua watu wanne, unamchukua na houseboy unawaacha wasanii wengine hapo nje??
Unachukua tv....... What was your mission....
Mzee Siro nae kuna ngoma anaicheza sijajua mpigaji ni nani....kamanda sirro anakwambia Ibrahim mussa almaarufu roman catholic!!
kamanda sirro anakwambia Ibrahim mussa almaarufu roman catholic!!
Jukwaa la siasa kuna mtu kaota ndoto ya rais mwanamke.... Nenda kule fonti fedi.Nasikia afya ya Mtu mkubwa inazidi kuzorota..
Mh!Ya Lema yanamnyemelea mtu.Jukwaa la siasa kuna mtu kaota ndoto ya rais mwanamke.... Nenda kule fonti fedi.
Fua nguo zako kesho Jumatatu kazini
Kiki za kizembe... [emoji86][emoji86][emoji86]
Vyeti feki
Kesho kuna tukio gani jingine linaloingiliana na la ROMA kuongea ?
Na ww vua pupiiii uniniliuuuuuFua nguo zako kesho Jumatatu kazini
Watabadili mbinuTunasubiri mwingine atekwe
Ikiwa Roma alikuwa ametekwa alijuaje Ruge alikuwa ana muhangaikia? walikuwa pamoja?My take,
Roma anaweza akawa amepigwa biti asiseme alikuwa amefichwa wapi, lakini naamini Ruge ndiye mtu sahihi wa kumuhoji hawa madogo walikuwa wapi??
Kama alihangaika nao kuanzia asubuhi ya Jana mpaka usiku ni wazi kuwa anajua aliwahangaikia wapi na kwa Muda gani. Ruge kwenye hili wewe ndo utasema ukweli.
Ombi:
Ruge Kama utafanya lolote kumuokoa yeyote kwenye hili Tope, Muda ndo utakaoamua mustakabali wa biashara yako.
[HASHTAG]#kumbukauvamizi[/HASHTAG]