Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Kaisadia nini Dunia wewe... Kusoma kasoma yeye ili apate kula na kuishi yeye na familia yake.. Bakhersa hajasoma kumbuka lakini anamuona mwenye Degree ni Fala tu...

Inamaana Mwakyembe siku akikutana na Yesu atamuambia wewe Yesu hujasoma utanishauri nini? IQ aliyotumia Waziri ni Ujinga... aache kujimwambafai...
 
Roma katupa Jiwe Gizani Kwa kupitia fasihi kama tawi la sanaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿


Kilicho cha Haki kitafika tu kwa mlengwa hata akiwa nyuma ya duniaaa


Vivaaa akili kubwaaaa
Viva Mwana Hip Hop halisi
Viva baba Ivan
Viva sauti ya wanyongee


Vivaaa Romaaaaaaaa
 

Imbombo jilipo!!!
 
Roma. Tunga wimbo verses nakupa hapa chini, ujue mwanasiasa chunga ulimi kwa Mwanahabari na Msanii, haya tayari huyu babu ni mteja wa msanii, anampa verses kirahisi kabisa;

Roma drs la nne lakini anatisha wa Degree 4, angesoma je?

Elimu haipatikani darasani tu, hata chini ya mti ukapata mafundisho, pengine hata marishoni unaweza fundishwa.mfani jando na unyago

Samweli Doe alikuwa na Dgree? mbona alisumbua?

Idd Amin Dada hata certificate hakuwa nayo, lakini aliitisha Israel

Hitre alitawala Dunia darasa la 2 tu, na wenye Elimu ulaya wakakoma mpaka leo wanalia.

Bakhresa? mbona wasomi wanalipwa mishahara kupitia yeye, anakopesha serikali ya kina Kabudi

Roma anapata hela nyingi kuliko Mwakyembe, uongo jamani

usiogope muimbe hivo tu, na mengine ongeza,
Chorus...........
 


Hakika nakuambieni" kama mtaani kwako hakuna kichaa,jitizame vizuri unaweza kuwa wewe"
 
Degree nne tena? Hawa watu jamii ya Mwakyembe mbona miguu na njia kwa waganga wa kienyeji often kupata "ushauri wa kitaalamu" ingawa hao hata std 3B hawakuliona?

Kitendo cha Waziri kushuka chini na kuanza kujibizana na "standard 4/7" ni ishara tosha hizo degree 4 zilikuwa za kudesa na kukariri tu na wala hazijamsaidia kitu. Otherwise ile sumu ilimuharibu pakubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…