Kaisadia nini Dunia wewe... Kusoma kasoma yeye ili apate kula na kuishi yeye na familia yake.. Bakhersa hajasoma kumbuka lakini anamuona mwenye Degree ni Fala tu...Roma arudi shule jamani
Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika
Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
Ila wasiojulikana wasije mkamata tena wakaenda kumuua.Mwambieni Mwakyembe atulie sindano imuingie vizuri hadi mwisho.
Roma amedanganywa na wanasiasa wabaya tu
Waimbe zá kusifu tu kama walivyofanya Hármonize, Nandy na Beka flavour.Waziri anataka waimbe Mambo ya sodoma hatar sana.
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Mkuu kam
kama hako kanyimbo unako ebu kaweke ili nasisi tujue kinachomtowa povu huyu bwana
Wafanye kama Nandy, beka flavour, Harmonize, wasifie tuKwahiyo wasanii wote waimbe mapenzi tu?
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!