na wewe ni kati yao?Roma amejiteka kutafuta umaarufu
Hana lolote Huyo mwanamke tomito anacheza na akili za watu yupo kazini anatafuta habar apeleke kwa mabosi wake maeneo ya kijitonyamaTomito Tomato kwa hiyo Roma asipoongea ukweli kesho jumanne utakuwa ukweli wote wazi?
Unafaa kuteuliwa kuwa mbunge wakuwakilisha wajingana wewe ni kati yao?
well said[emoji122]Hii inchi kwa kuleana kifala fala namna hii tutaonewa sana, hebu siku moja litokee kundi moja liingie mstuni tutiane adabu kwanza ili tuheshimiane
Kwani bashite ni mkatoliki ?Kesho tunataka kusikia yafuatayo..wale watu wawili waliokuja kukuhoji kwanini walikuwa hawakujui je walielekezwa na nani kwako?..mlipoingia ndani ya ile noah kwanini nyote mlifungwa vitambaa vichwani na mkaja kufunguliwa mlipoingizwa katika nyumba ya kwanza mikocheni na siku mbili baadae mkahamishiwa katika nyumba iliyopo Oysterbay..
Kwanini kati yenu wote ni wewe tu ndiyo uliyepigwa sana na virungu magotini huku ukikanyagwa kila mara mbavuni mwako na kuna wakati ukawekewa bastola kichwani ndipo ukaanza kunywea..ni kiongozi gani ambaye juzi usiku alikuja katika hiyo nyumba na kuzungumza nanyi kisha akawatishieni nyote..yule dada aliyekuwa akiongoza mateso yenu huku akiwa anawahoji na kuwarekodi anatoka katika taasisi gani..
Kiongozi gani aliomba kuongea na wewe jana asubuhi kabla hamjaondoshwa hapo oysterbay na kupelekwa polisi?
ole wako usiseme huu ukweli kesho.
BTW Tanzania ipo katika hatua nzuri ya kumpata kiongozi mwenye sifa zote za Kagame.Walahi kuna vugu vugu baya inchini likisababishwa na mtu mmoja tu huku mkuu kabisa akiona sawa. So sad. Sidhani ndicho walicho tegemea wapiga kura wake.
Kama Roma asingechechemea mguu wake baada ta utekaji, hata mimi kweli nisingemuamini mleta uzi. Lakini there is a possibility kwamba anayoyasema yana ukweli.
Mtoaa mada kasema ukweli kabisaa