Kataa Rushwa
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 728
- 765
TUPUNGUZE UCHOCHEZI ................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaaaaaa
Wa madawa mnamtishia eeeeeh.
Mmeshaanza kutunga uongo, na bado mtanyooka tu.
Nchi hii viongozi hawatachafuliwa kwa sababu wtu wachache wana maslahi yao.
Mtanyooka tu.
Kosa hasa la Roma ni nini???kumbe na wewe ulitaka kuungana na wale waliokuwa wanadhani natania mkuu? mtafuteni moni na bin laden waulizeni kwanini walitenganishwa vyumba na wote wakawa wanateswa tofauti tofauti? si wapo nje tayari sasa kwanini mliopo nao msiwaulize tu ili mjiridhishe? au na nyie mnaogopa kutekwa kama wao?
Tena kama kawa kama kawaidaz bandika bandua yan...Daaah.....Movie linaanza
nilichofanya ni kumtahadharisha tu huyo mkatoliki kuwa tunamtaka aseme ukweli huo ambao nimeuweka hapo na si kinyume. kamuulize au nenda eneo analoishi kisha uliza hapo mtaani kuna gari gani ambalo kila baada ya saa moja linapita hapo na kuna simu gani kapigiwa leo hii ( jumapili ) mida ya saa 5 mara baada ya kupokea simu za akina ruge na wakili wake? nikushauri tu mkuu kaa mbali kabisa wakati wa watanzania kunyanyaswa kwa maslahi ya majangili wawili sasa tunataka kuumaliza kabisa ili tanzania ile ya amani, usawa, haki na upendo irudi. na kama mpo karibu na huyo mkatoliki wenu mfikishieni hii taarifa kuwa ole wake kesho asiseme ukweli wote wakatoliki wenzake watausema jumanne na kuna uwezekano hata nchi ikasimama kidogo na dunia kushtuka kwa uonevu na ukatili ulioibuka tanzania.
Mtoa huu uzi ameandika kama alikuwepo kwenye tukio nadhan ni wakati wa Max kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili watu kama hawa wasaidie kwenye uchunguziWewe ndio utuambie ukweli umejuaje alipigwa virungu? ulikuwepo
Sasa umejuaje hatosema ukweli wakati yeye ndio anajua ukweli? Tatizo lenu tayari mna majibu yenu mfukoni sasa mnalazimisha Roma aseme hayo.
Ukweli ni ukweli tuu hata kama hauto wafurahisha kwa hiyo mtulie msilazimishe aseme myatakayo
Kesho tunataka kusikia yafuatayo..wale watu wawili waliokuja kukuhoji kwanini walikuwa hawakujui je walielekezwa na nani kwako?..mlipoingia ndani ya ile noah kwanini nyote mlifungwa vitambaa vichwani na mkaja kufunguliwa mlipoingizwa katika nyumba ya kwanza mikocheni na siku mbili baadae mkahamishiwa katika nyumba iliyopo Oysterbay..
Kwanini kati yenu wote ni wewe tu ndiyo uliyepigwa sana na virungu magotini huku ukikanyagwa kila mara mbavuni mwako na kuna wakati ukawekewa bastola kichwani ndipo ukaanza kunywea..ni kiongozi gani ambaye juzi usiku alikuja katika hiyo nyumba na kuzungumza nanyi kisha akawatishieni nyote..yule dada aliyekuwa akiongoza mateso yenu huku akiwa anawahoji na kuwarekodi anatoka katika taasisi gani..
Kiongozi gani aliomba kuongea na wewe jana asubuhi kabla hamjaondoshwa hapo oysterbay na kupelekwa polisi?
ole wako usiseme huu ukweli kesho.
Kesho tunataka kusikia yafuatayo..wale watu wawili waliokuja kukuhoji kwanini walikuwa hawakujui je walielekezwa na nani kwako?..mlipoingia ndani ya ile noah kwanini nyote mlifungwa vitambaa vichwani na mkaja kufunguliwa mlipoingizwa katika nyumba ya kwanza mikocheni na siku mbili baadae mkahamishiwa katika nyumba iliyopo Oysterbay..
Kwanini kati yenu wote ni wewe tu ndiyo uliyepigwa sana na virungu magotini huku ukikanyagwa kila mara mbavuni mwako na kuna wakati ukawekewa bastola kichwani ndipo ukaanza kunywea..ni kiongozi gani ambaye juzi usiku alikuja katika hiyo nyumba na kuzungumza nanyi kisha akawatishieni nyote..yule dada aliyekuwa akiongoza mateso yenu huku akiwa anawahoji na kuwarekodi anatoka katika taasisi gani..
Kiongozi gani aliomba kuongea na wewe jana asubuhi kabla hamjaondoshwa hapo oysterbay na kupelekwa polisi?
ole wako usiseme huu ukweli kesho.
Mkuu kile kilikuwa kichwa hilo hata CHADEMA wanakubali ingawa sio hadharani alikuwa anauwezo wa kupata data na akaitwa mzee wa data.Nimeimiss chadema ya dr slaa,yaani walikuwa hawachezi na fursa hizi kabisaaa,
hapa tayari wangeshapata mawasiliano,tayari watu wangewekwa mtaa anaokoo Roma ili kufuatilia ile gari inayopita na hao magaidi kumtishatisha,
hiyo gari ingekuwa tracked na mhisika angeanikwa wazi ,yote hayo yangefanyika kwa gharama kidogo tu ambayo hawa viongozi wao wa sasa wanaona ugumu kutoa fund kwa kazi kama hizo,
ha ha ha japo nilikua buku saba kipindi hicho moyoni nilikuwa nakiri vijana walikuwa wanatukimbiza balaaa
Acha blah blah zako, ungekuwa na ukweli halisi ungemwaga na sio kusubiri Jumanne.
Unamtishia wewe kama nani? Acha kuleta udaku wako huku, kaa huko muisome namba.
Mnapenda sana kutunga uongo shaaaaaaa
Ona upupwu uliouandika kumblackmail, kama una ubavu jitokeze kwa mapaparazi uonekane uyaongea uliyoyaandika. Au weka jina lako kamili na mengine ujulikane.
Kuja na ID feki umegusa mwamba, shame on you.
Mtanyooka tu, fanyeni kazi wavivu wakubwa hakuna vya shoti kati tena.
Mkuu Roma nampenda sana lakini safari hii nimemuonea sana huruma hadi nilikuwa natoa machozi kumlilia, walotekwa wote wanaonekana kuathirika kisaikolojia na Roma jana jumamosi aliimbia jamii ya watanzania kuwa wote wapo heri kabisa kimwili na kiakili lakini Roma hakujua hata ongea yake tu inonesha hayupo sawa maskini.mkuu mbona kama vile unalazimisha kujuana na mimi? au wewe ndiyo yule dada uliyekuwa ukiongoza mateso ya akina mkatoliki pale oysterbay safe house yenu huku mkiwarekodi hivyo unataka kuninyamazisha? nimesema kama kesho mkatoliki hatosema ukweli wote basi sisi wakatoliki tutausema jumanne na kwa namna bora kabisa ili watanzania wajue mbivu na mbichi. ogopa sana jambazi akija kuwa mlinzi hakuna kitakachoibiwa na uhalifu kutokea hapo. tena hayo niliyoyaeleza hapo ni machache mno na kama nikisema niweke kila kitu nadhani kutakuwa na reshuffle muda si mrefu hivyo namsubiri kwanza mkatoliki hiyo kesho na sijui kwanini hata hiyo kesho haifiki tu haraka.
Ha ha haa ! Umetisha bigAcha blah blah zako, ungekuwa na ukweli halisi ungemwaga na sio kusubiri Jumanne.
Unamtishia wewe kama nani? Acha kuleta udaku wako huku, kaa huko muisome namba.
Mnapenda sana kutunga uongo shaaaaaaa
Ona upupwu uliouandika kumblackmail, kama una ubavu jitokeze kwa mapaparazi uonekane uyaongea uliyoyaandika. Au weka jina lako kamili na mengine ujulikane.
Kuja na ID feki umegusa mwamba, shame on you.
Mtanyooka tu, fanyeni kazi wavivu wakubwa hakuna vya shoti kati tena.