Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Status
Not open for further replies.
/
Mkuu Gentamycine wewe ni mwana Eaglewing lakini kila siku unakataa. Endelea kucheza na akili zetu.

https://www.jamiiforums.com/threads...to-vituko-na-uchangamfu-sana-humu-jf.1214199/
 
Mbombo ngafuu..mweeeh
 
Bashite Umepanic, anyway mwaka wako huu, panic at your own risk
 
Alishajitapa leta deffender leta wajeda sasa kesho atulishe matango pori kweli mje hapa kueleza ukweli
 
Alishajitapa leta deffender leta wajeda sasa kesho atulishe matango pori kweli mje hapa kueleza ukweli
 
Walahi kuna vugu vugu baya inchini likisababishwa na mtu mmoja tu huku mkuu kabisa akiona sawa. So sad. Sidhani ndicho walicho tegemea wapiga kura wake.
Wat if huyo mkuu ndo anamtuma huyo mtu mmoja?
 
Ajitokeze ili nae mumteke

Wala hujui huyu nani.

Drama zenu za kujitengenezea zinajulikana pita hukoooo muendeleee kupanga mipango ambayo haijaenda shule inabuma ndani ya sekunde baada ya kutolewa. Usisahau kuwapikia chakula wenzako
 
Fundu linaanza pale umetengeneza ma-Tshirt yako 1000 ya [HASHTAG]#FreeRoma[/HASHTAG] halafu karudi
 

Cha msingi jilinde wenye Nchi yao wasije kujitoa uhai Watanzania wanyonge tunamuhitaji.

Sidhani kama atasema naona badala ya Jumanne asiposema asubuhi hiyo kesho jioni tuwekee ukweli tunaopaswa kujua.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…