Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Vyeti muhimu bashite aache ushoga unaligharimu taifa na ni aibu kubwa kwa dunia.
 
duh...sawa....! nani kawapeleka police hapo....?
 
atakuwa ni mhalifu huyu,si ndio maana anaitwa J Murder?
basi kama ni kweli, yapswa tumhukuru mungu
 

Attachments

Yani kwa ufa fa fa fa fa Wa bashite na Makomeo wanafikiri wananchi hatujauelewa mchezo wao mchafu
Kweli hawana akili

Na headlines za kesho ni Nape alafu atafuata Roma

Mrudisheni na Ben saanane hata kama ni mwili wake
 
Kama alitunga sinema ya kumchafua Gwajima, akalazimisha irushwe hewan Hata pale ilipoonekana ni ya kutunga, anashindwaje kwa hili??
Zero on paper represents zero in brain
 
Hivi mamlaka zinasemaje kuhusu Ben ? Maana kama Roma aliahidiwa kabla ya jumapili je kwa ndugu yetu Ben ganzi ipo wapi
 
Daktar huru ampime polonium, sarin, cyanide, ricin tujue kama wamemtengua neva ya kutungia mistar na atuambie ilikuwaje huko
 
Sasa si bora aonyeshe vyeti tu kuliko mambo haya yote! Mbona easy tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…