Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

*Wanadamu wenzetu wanapotea tupo kimya* kama waliopotea sio binadamu ni *viazi mviringo*
Faru alipopotea hata DNA ilifanyika na *waziri mkuu alikuwa mkali kama mbogo* hii ni hatari na hii ni ishara tosha ya kuchokwa na wanaotutawala
*Kaa kimya kama Diamond alivyokaa kimya na kuimba kawimbo kake kakiboya kakujinyenyekeza as if aliyepotea sio mwanamziki mwenzake*, ipo siku utapotea ww na wengine watakaa kimya kama ulivyokaa kimya ww
Mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
*#BringBack Roma na wenzake*
*#BringBack Ben Ben-Rabiu Wa Saanane*
[HASHTAG]#TeamNyalila2020[/HASHTAG] [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Diamond ndo msanii wa ajabu kama domo lake
 
Roma toka uje utuambiee wapi ulikuwa na kama umenyeshwa matango pori tutajuaa
 
Kichekesho zaidi ni pale watakaposema hakuna wanayemshikilia kuhusiana na utekaji huo
 
Yani hawa wanatuona sisi wajinga..Walimshikilia Roma ili attention ya nchi iwe kwenye hilo tukio na watu wasiwe na attention na Nape. Sasa wanoona Nape kaanza mkutano eti ndo wanamuachia ili watu wasiendelee kufwatilia habari za Nape. Hizi mbinu za kitoto sana na kama serikali inafikia hatua ya kufanya hivi basi hali ya nchi ni mbaya sana. Najua mda sio mrefu Bashite ataitisha mkutano na waandishi wa habari kutoa taarifa ya kupatikana kwa Roma. Nawasihi waandishi wa habari kesho watoe habari ya kupatikana kwa Roma lakini wasimpe promo Bashite. Mwendo ni ule ule,hakuna kurudi nyuma
lakini zin work kwa wananchi wengi..Wewe ndo unaona za kitoto. Wale wanaotoa mishipa kule instagram wengi ni Naive.😀😀😀
 
Hapa makonda anahusika kwa kweli.watuambie wamewapa vipi?wamewaokoa ama ?
 
Hongera Jeshi letu kwa msako mkali uliopelekea kupatikana kwa Roma.
 
Roma ataweza sema alikuwa wapi na alikuwa anafanya nini.. nay aliitwa ikulu akatoka kimya hadi leo.
 
Watanzania tunaongea sana yani mpka unajiuliza tunatumia kinywaji gani. Loo. Hivi Mtu hawezi kuchukuliwa na Mdai wake. Au mbaya wake nk. Hizi conclusions mwendo kasi. Zitafanya watu wabaya wafanye maovu na kuwaacha wananchi wasingizie watu fulani. Tumeshakuwa na majibu sasa tunasubiri maswali. Its very sad.

I'm glad you see it the way I see it.

Kila baya sasa hivi litakuwa linahusishwa na Magufuli pamoja na Makonda.

But they are also not doing themselves any favor na vile wanavyotoa kauli zao pamoja na matendo yao.
 
Igp Yupo Kimya
Waziri Wa Mambo Ya Ndani Kimya
Waziri Wa Habari Utamaduni Michezo Kimya

  • IGP anawaza kutumbuliwa siku za karibuni ni suala la muda tu.
  • Waziri wa Mambo ya Ndani yupo busy katika Kusajili Kikosi chake cha Singida United.
  • Waziri wa Habari Utamaduni Michezo anaogopa kuingilia hasa akikumbuka kuwa hata yeye bado ile Sumu haijamtoka sawa sawa Kichwani hataki ' kuthubutu ' kwani hata kupona kwake tu ilikuwa ' tia maji tia maji '.
 
Back
Top Bottom