Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Ni hizi skin tight ndiyo zinawatoa ujasiri wanaume wa Dar kila wakimuona Bashite
26689a059e11745896ffdd7e5e80963c.jpg
Duh, Bashite ana mapigo ya ki sister duh balaa!! Cheki hicho kivazi kilivyomtoa na hips zake. Ole wako uniteke!!
 
Watanzania tunaongea sana yani mpka unajiuliza tunatumia kinywaji gani. Loo. Hivi Mtu hawezi kuchukuliwa na Mdai wake. Au mbaya wake nk. Hizi conclusions mwendo kasi. Zitafanya watu wabaya wafanye maovu na kuwaacha wananchi wasingizie watu fulani. Tumeshakuwa na majibu sasa tunasubiri maswali. Its very sad.
Sio utamaduni wa watanzania kuficha wenzao lazima ni Bashite kwa ruhusa ya IKULU
 
Huu mchezo wa kuficha watu ili kutujaribu uishe hawa wanamusic kuna kiongozi atakuwa aliwaficha na leo kawarudisha
 
Nasikia fulani na wenzake waliodaiwa kupotea eti wamepatika na wako sehemu fulani kukamisha mambo fulani.

Kama ni kweli,mbona hata picha zao hatuzioni.

Kweli kamanda fulani angeacha kujitokeza mbele ya waandishi akiwa na hao wahanga ili kupiga picha ya pamoja na hao wahanga kama ushahidi?

Hata ndugu zao wa karibu nao mpaka sasa wamezuiwa kuwaona?

Kama wamewaona,mbona nao wako kimya?

Inakuaje mpaka sasa hakuna update ya kueleweka.

Alafu inakuaje taarifa ya hao wahanga kupatikana isitolewa kuthibitishwe na wenye mamlaka na badala yake inatolewa na mwananchi wa kawaida tu?

Je,wanataka tu kutuliza mokari ya watu?

Mimi bado namashaka.
 
Hahahaha Daud Bashite ni jambazi, aibu kwa taifa kuwa na kiongozi anayeteka anaowaongoza
 
Kwani Faru anamtembelea Fausta? Mbona ana kiburi sanaa!??? Huyu Fausta? Anasumbua nchi huyu Fausta na gharama zake kwa siku na mwezi
 
Kabla ya jumapili kapatikana,Bashite atazidi kupanda chati.
 
Ngoja ifike saa moja hatujaona hata picha zao, tutajua tymechezewa kekundu
 
Back
Top Bottom