Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
- #141
Ukichagua kitumbua alafu unakibandika hapo? Watu wanaanza kukutafuna?Mm hata ukiniambia nimchague Niki wa 3 na kitumbua nachagua kitumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukichagua kitumbua alafu unakibandika hapo? Watu wanaanza kukutafuna?Mm hata ukiniambia nimchague Niki wa 3 na kitumbua nachagua kitumbua
Umesema ukweli kabisa, miaka yote nyimbo zilezile zinafanana kila kituRoma ni msanii mkali ila nyimbo zake are getting generic, nyingi zinafanana sana, and can't stand a test of time maana ni nyimbo za matukio.
Nyimbo zake kama mtoto wa kigogo, usimsahau mchizi na mkombozi are my favourite.
Hiyo ya darasani kaipata lini?Roma hana kipaji anatumia miguvu kuimba
Na bahati mabaya ni mbovu kwenye utunzi
Bahati mbaya kabisa akili hana labda akili ya darasani
Naamhahaha,
Ila wewe huna akili kuliko Roma. Ni mwehu na shukuru sana ID fake zinakusitiri.Roma hana kipaji anatumia miguvu kuimba
Na bahati mabaya ni mbovu kwenye utunzi
Bahati mbaya kabisa akili hana labda akili ya darasani
Ww ndie andazi kabisa.Hauelewi kabisa Lugha ya Sanaa.Pale anafikisha ujumbe kuwa tunahitaji chama kipya .CCM imechoka.Huwa najiuliza kuna mtu anapenda muziki anaofanya Roma? Sijawahi kumuelewa hata siku moja, nyimbo zake nyingi huwa ni kama risala, Hakuna flow nzuri, mistari migumu meusi wala melodies za kueleweka.
Roma mara kadhaa amekua akitumia beef na wasanii wengine kama kiki kwake, lakini wasanii wengi wamekua wakimpuuza.
Media zimekua zikimpa sana attention lakini hamna kitu, Kuna wasanii wengi wazuri sana wenye flow nzuri na mistari migumu kabisa ya hiphop hawapati attention
Roma anasema ikiwekwa ccm na andazi anachagua andazi. Hivi kweli mtu mwenye akili anaweza kuimba kitu Kama hiki? How andazi linaweza kuwekwa kwenye ballot paper? Huwa naona hii mifano inatolewa na Watoto au watu wazima wenye utoto, ni kama zamani tulipokua watoto tunatembea tunatoleana mifano ikitokea likadondoka kontena la hela hapa tunagawana vipi.
Hizi nyimbo za Roma ni ngumu sana kudumu, ni nyimbo ambazo ukisikiliza Leo kesho hutamani tena kusikiliza.
View attachment 2593145
Hapa huwezi chomoka kirahisiTanzania
Mathematics
Mechi za ugenini
Kumbe ni DC kama tuna ma DC wa hovyo hivi....??DC kapigwa kwenye mshono, anabaki kulia tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Roma mtu mbadiiii.
Nasikia eti ana masters, kwa hizi akili bora darasa la saba wa kule nyarugusu kuliko Huyu direct current wa kibaha.Ww ndie andazi kabisa.Hauelewi kabisa Lugha ya Sanaa.Pale anafikisha ujumbe kuwa tunahitaji chama kipya .CCM imechoka.
Mwenye hiyo ngoma afanye kuitupia hapa wakuu