ROMA ni Msanii wa ovyo. Aambiwe maua wanapewa wanawake

ROMA ni Msanii wa ovyo. Aambiwe maua wanapewa wanawake

Roma ni msanii mkali ila nyimbo zake are getting generic, nyingi zinafanana sana, and can't stand a test of time maana ni nyimbo za matukio.

Nyimbo zake kama mtoto wa kigogo, usimsahau mchizi na mkombozi are my favourite.
Umesema ukweli kabisa, miaka yote nyimbo zilezile zinafanana kila kitu
 
Katika huo mstari anasema ni bora achague Andazi kuliko CCM mimi hapo naungana nae maana hakuna tofauti ya Andazi na CCM na bora andazi halina maamuzi ya kijinga.
 
SI Bora yy kasema andazi anaweza kulila binafsi ukiniwekea CCM vs JIWE bas nachagua jiwe.
 
Huwa najiuliza kuna mtu anapenda muziki anaofanya Roma? Sijawahi kumuelewa hata siku moja, nyimbo zake nyingi huwa ni kama risala, Hakuna flow nzuri, mistari migumu meusi wala melodies za kueleweka.

Roma mara kadhaa amekua akitumia beef na wasanii wengine kama kiki kwake, lakini wasanii wengi wamekua wakimpuuza.

Media zimekua zikimpa sana attention lakini hamna kitu, Kuna wasanii wengi wazuri sana wenye flow nzuri na mistari migumu kabisa ya hiphop hawapati attention

Roma anasema ikiwekwa ccm na andazi anachagua andazi. Hivi kweli mtu mwenye akili anaweza kuimba kitu Kama hiki? How andazi linaweza kuwekwa kwenye ballot paper? Huwa naona hii mifano inatolewa na Watoto au watu wazima wenye utoto, ni kama zamani tulipokua watoto tunatembea tunatoleana mifano ikitokea likadondoka kontena la hela hapa tunagawana vipi.

Hizi nyimbo za Roma ni ngumu sana kudumu, ni nyimbo ambazo ukisikiliza Leo kesho hutamani tena kusikiliza.
View attachment 2593145
Ww ndie andazi kabisa.Hauelewi kabisa Lugha ya Sanaa.Pale anafikisha ujumbe kuwa tunahitaji chama kipya .CCM imechoka.
 
Mmh,mi mbona sijui nyimbo yako hata moja,labda ile siri ya nini uloshirikishwa na Rayvany
Hili jamaa lina chuki karibia na kila mtu,yaani tangu uchapiwe demu wako umekuwa zimbokoko
 
DC kapigwa kwenye mshono, anabaki kulia tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Roma mtu mbadiiii.
Kumbe ni DC kama tuna ma DC wa hovyo hivi....??
Roma kasema,
Ndio maana Njombe tuna miti na misitu ila tooth sticks tuna agiza china....
 
Unashangaa kuchagua andazi. Mi hata nikiambiwa ccm na mav, nitachagua mav
 
Ww ndie andazi kabisa.Hauelewi kabisa Lugha ya Sanaa.Pale anafikisha ujumbe kuwa tunahitaji chama kipya .CCM imechoka.
Nasikia eti ana masters, kwa hizi akili bora darasa la saba wa kule nyarugusu kuliko Huyu direct current wa kibaha.
 
Back
Top Bottom