Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Naomba unitag na mm oligarch general[emoji3526]
 
Umenisahau mkuu kwenye list. Niweke na mimi ili nisipitwe
 
Mi na ww mwenye shobo nani? Memquote The bold na kindly tumeshayamaliza ww kiherere cha nn kuingilia yasiyokuhusu? Kadange mbele ki front front punguza ama ukiweza acha😉😉
Unajiita Vidmate mtoto wa kiume 😀😀😀😀😀😀
 
Na
Na mimi tag mkuu
 
Mkubwa

Part 5 kuna mambo umeyechanganya...

Baada ya Mr. Skuratov's kulivalia njuga suala la kampuni ya Mabetex kulamba dili la $49 Million serikalini.

Yetsin aliomba msaada kwa Putin ambaye alikuwa ni Director wa FSSB kipindi hicho namna ya kumuajusti Skuratov's

kikaombwa kipindi maalum kwenye Luninga ya Taifa...



 
Naam mkuu... kina mengi ya kujifunza
Umenifundisha mambo mawili. Mosi fursa za namna hii tunakutana nazo sana wengine lakini tunambwelambwela kuzichangamkia na pili imani zetu wenine kidini zinatufanya tusite sana kudaka baadhi ya fursa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…