Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

The bold tupo pamoja sana mkuu,, nothing to reply kwa mpumbavu keep going bro. Usisahau kunitag oligarchy
 
Kesho mchana chief
Mkuu tumefarijika sana kurudi kwako jukwaani, tulikua tunamsumbua sana niffah akufikishie salamu zetu.
Pia hongera sana kwa kazi kubwa unayoifanya ingawa kuna mipuuzi michache kazi yao ni kuwakatisha wenzao tamaa kwa dharau na kejeli za kipuuzi.
Mkuu lini utatumalizia ile ya mifereji ya damu?
 
Dawa ya The Bold huwa ni kutosoma stories zake! He seems to be busy more than Mr President himself!
 
Broo nimesoma coment yako mara 2 mbili umeandika point...mimi ni mtu ninayependa upinzani katika hali yoyote ile so kwa ulichokiandika kimeengeza ufahamu wangu kwenye maswala kolonimamboleo..Asante
 
Habibu B. Anga, post: 33180652, member: 141659"]
Wepesi sana hawa mkuu ndio maana waona nawadharau hata kuwajibu siwajibu...
Nina miaka mitano sasa naandika JF kwa hiyo nimeshaona kila rangi na nishaona kila aina ya watu humu.
Mtu mpumbavu hatupaswi hata kumpa heshima ya kumjibu.
Sie twasonga mbele, ikiisha uzi huu twaweka mwingine tena tena, roho ziwaume mpaka wapate viungulia.

Wepesi sana hawa... wepesi kama karatasi. Na hawastahili hata heshima ya kujibiwa.
[/QUOTE]


Ukiwa muongo , jaribu kutunza kumbukumbu.

Eti una taarifa za kiintelijensia za nchi za Afrika ya Mashariki,,,, haaaaa haaaaa teeeeh teeeeeh.

Vituko havitakaa viishe duniani,
 
Mniwie radhi sana wakuu... nina wiki karibia sijaingia humu na sikuwa sana online sana.
Naomba mniruhusu kesho niweke. Nitaweka yote mpaka mwisho wa makala tumalize huu uzi tuanze ngwe nyingine..

Kumradhi sana wakuu.. kesho mchanatumalizane na hii makala.
Mbona kimya kingi au mkuu Habibu B. Anga nae kapatwa na heart attack
 
Mifereji ya Damu mbona nilimaliza chief. Au haujapata sehemu za mwishoni??

Nafurahi pia kurejea Jukwaani mkuu.

Wala usijali chief, hawa watukanaji nimewazoea.. ni kama pilipili kwenye mboga, mie nawaona wanafanya uzi uzidi kunoga, maana hata wapumbavu nao wanahitajika duniani ili wenye hekima waonekane wana hekima.
 
Boss, kumradhi sana. Ni ngumy kunielewa but kuna muda mambo yanakuwa nje ya uwezo wangu.
Kesho naweka mpaka mwisho tumalizane na Oligarch Abramovich tuanze kufyeka pori lingine. Kesho mchana Boss..
[emoji124][emoji124] Tumuachie story yake bhana..
 
Pamoja sana chief..

Nafurahi kwamba maandishi yangu yanaleta impact kwenye maisha ya watu.

Aluta continua.
Broo nimesoma coment yako mara 2 mbili umeandika point...mimi ni mtu ninayependa upinzani katika hali yoyote ile so kwa ulichokiandika kimeengeza ufahamu wangu kwenye maswala kolonimamboleo..Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…