[emoji16][emoji16],,,NATO and UKRAINE are losing this war, UKWELI unaujua kabisa kwamba Ukraine mambo hayaendi ....... It is time for you to pray for peace .... ...You will never win this war , Unless God has decided to help you, NATO , USA and EUROPE will never help you WIN THIS WAR .......
Pray for Peace
UMoja wa kujihami wa nchi za Magharibi.Kama haipo tena mbona Nato haijavunjwa ndio kwanza wanazidi kuizunguka russia kijeshi
Uongo huuMsaada wa US to ukraine tangu vita ianze ni karibu dola bilioni 150,
Imezidi bajeti nzima za kijeshi za Russia, UK, saud arabia na france
Ukraine kwa wiki moja??...hivi unafikiri Ukraine ni KINONDONI ...Li nchi lote lile ulifunike kwa wiki moja??Hiyo ingekuwa ni vita..au mashindano ya magari..??Supapawa wa mchongo tulimuogopa, tulikua na uhakika ataifunika Ukraine kwa wiki moja, leo hii amepoteza wanajeshi kama senene, ameishia kugombea tumiji twa huko mpakani na hapo anasaidiwa hadi na Iran, Syria, Chechen, Korea Kaskazini, wafungwa, vijana mateja mitaani...