Romania kujihami na madubwana ya Marekani yenye uwezo wa kupiga meli za Urusi

Romania kujihami na madubwana ya Marekani yenye uwezo wa kupiga meli za Urusi

Msaada wa US to ukraine tangu vita ianze ni karibu dola bilioni 150,
Imezidi bajeti nzima za kijeshi za Russia, UK, saud arabia na france
Kwani ni kiasi gani ambacho kilikuwa kimetengwa na US ili kuhakikisha Urusi haishindi hii vita?.
The way you argue ni kama vile US iliweka certain Figure kwa ajili ya msaada Kwa Ukreni na sasa wamevuka hiyo figure.
 
Kwani ni kiasi gani ambacho kilikuwa kimetengwa na US ili kuhakikisha Urusi haishindi hii vita?.
The way you argue ni kama vile US iliweka certain Figure kwa ajili ya msaada Kwa Ukreni na sasa wamevuka hiyo figure.
Anasema ..."Msaada wa US to ukraine tangu vita ianze ni karibu dola bilioni 150,...."
Cjui hii figure kaipata wapi na akafikia kuilinganisha na bajeti za nchi ambazo haziko vitani.
BTW; Ni tabia ya wabongo wengi kuhamisha magoli.
 
Mrusi hana hamu kabisa, yaani anajutia sana.
Anajutia Nini wakati part of Ukraine ameikalia.

Kaiharibu haribu Ukraine imekuwa kama Syria.

Yeye kapoteza wanajeshi tu lakini kakalia Ukraine hadi Sasa.

Ukraine Ina wakimbizi na miji imebaki mahame.

Uchumi umedumaa

Bila pesa za marekani this time Ukraine Ingekuwa total colonized na Urussi.

So vita ya urusi na ukraine ni vita vya urusi na NATO na marekani.

Mwanamme mmoja dhidi ya vijambio wengi
 
Kanako saidiwa na mataifa haya..

1. USA
2.EU nzima

Yani kana saidiwa kumkabili Mrusi pekee! Kwa kifupi japo hakapo NATO lakini kanasaidiwa na mataifa zaidi ya 10 kumkabili mrusi!!

Ama kweli Mrusi si mtu mchezo!
Jamaa haelewi Hilo yeye anashangilia tu[emoji1][emoji1787]
 
Kwani ni kiasi gani ambacho kilikuwa kimetengwa na US ili kuhakikisha Urusi haishindi hii vita?.
The way you argue ni kama vile US iliweka certain Figure kwa ajili ya msaada Kwa Ukreni na sasa wamevuka hiyo figure.
Blankcheck,, nachomaanisha iwapo ukraine imepewa msaada wa kuzidi bajeti za kijeshi za nchi tatu kubwa,, lakini bado hawajamudu kukomboa nchi yao, inaonyesha wanakabiliwa na mtihani mkubwa sana,,
US alitumia dola trilion 3,afaghnistan na alifail,,
Ngoja tuone
 
Nafikiri Mrusi ni kati ya wale
Mrusi keshasogelewa vya kutosha, tena anashikwa hadi kidevu, kwa sasa hawezi akajifanya kama ambaye anajikuna, haya mavitu yanawekezwa Romania yenye uwezo wa kusambaratisha meli zake huko huko katikati mwa bahari.
Kwa sasa hana jeuri ya kusema chochote maana amedhihirisha alivyo dhaifu baada ya kuaibishwa na kataifa kadogo ka Ukraine...................

Romania will acquire mobile coastal anti-ship missile batteries from American aerospace and defense company Raytheon to defend its Black Sea coastline. The company was awarded the USD 208 million contract by the Pentagon.
Raytheon and Norwegian company Kongsberg will provide Romania with an unspecified number of Naval Strike Missile Coastal Defense Systems. The overall value of the deal is estimated at around USD 217 million, according to a Pentagon announcement cited by the US Naval Institute. The arms will be manufactured at Raytheon’s facility in Tucson, Arizona, and Norway, and will be completed in 2028.

Romania has a 160-kilometer coastline to the Black Sea, where the Russian navy is active. According to a 2021 report from Norwegian engineering magazine Teknisk Ukeblad, the deal would pay for two coastal defense systems that would amount to four mobile launchers and two command and control nodes for the batteries.

The batteries are capable of targeting small and light ships made of Glass Fiber Reinforced Plastics (GFRP) and large naval combatants like destroyers and frigates and ships with thick hulls like icebreakers.

The U.S. and Romania signed a foreign military sales agreement in 2021 to acquire the Naval Strike Missile Coastal Defense System. In addition to Norway and the U.S., Poland currently uses the NSM as well. Australia, the United Kingdom, Canada, the Netherlands, Spain, Malaysia, and Germany also plan to use the missiles.

Initially developed for the Royal Norwegian Navy, the NSM anti-ship missile has a range of more than 100 nautical miles.
Wazi
Mrusi keshasogelewa vya kutosha, tena anashikwa hadi kidevu, kwa sasa hawezi akajifanya kama ambaye anajikuna, haya mavitu yanawekezwa Romania yenye uwezo wa kusambaratisha meli zake huko huko katikati mwa bahari.
Kwa sasa hana jeuri ya kusema chochote maana amedhihirisha alivyo dhaifu baada ya kuaibishwa na kataifa kadogo ka Ukraine...................

Romania will acquire mobile coastal anti-ship missile batteries from American aerospace and defense company Raytheon to defend its Black Sea coastline. The company was awarded the USD 208 million contract by the Pentagon.
Raytheon and Norwegian company Kongsberg will provide Romania with an unspecified number of Naval Strike Missile Coastal Defense Systems. The overall value of the deal is estimated at around USD 217 million, according to a Pentagon announcement cited by the US Naval Institute. The arms will be manufactured at Raytheon’s facility in Tucson, Arizona, and Norway, and will be completed in 2028.

Romania has a 160-kilometer coastline to the Black Sea, where the Russian navy is active. According to a 2021 report from Norwegian engineering magazine Teknisk Ukeblad, the deal would pay for two coastal defense systems that would amount to four mobile launchers and two command and control nodes for the batteries.

The batteries are capable of targeting small and light ships made of Glass Fiber Reinforced Plastics (GFRP) and large naval combatants like destroyers and frigates and ships with thick hulls like icebreakers.

The U.S. and Romania signed a foreign military sales agreement in 2021 to acquire the Naval Strike Missile Coastal Defense System. In addition to Norway and the U.S., Poland currently uses the NSM as well. Australia, the United Kingdom, Canada, the Netherlands, Spain, Malaysia, and Germany also plan to use the missiles.

Initially developed for the Royal Norwegian Navy, the NSM anti-ship missile has a range of more than 100 nautical miles.
Nadhani Urusi ni kati ya wale wazungu wasiotahiriwa
 
Blankcheck,, nachomaanisha iwapo ukraine imepewa msaada wa kuzidi bajeti za kijeshi za nchi tatu kubwa,, lakini bado hawajamudu kukomboa nchi yao, inaonyesha wanakabiliwa na mtihani mkubwa sana,,
US alitumia dola trilion 3,afaghnistan na alifail,,
Ngoja tuone
Kwanza umedanganya kuhusu kiwango cha pesa ambacho US kashatumia Ukraine.
2:- US haikuweka amount fulani ya kutumia Ukraine hata tusema kuwa wamevuka kiwango walichojiweka ili kuidhibiti Urusi.

Na kuhusu Afghanistan na Urusi ni case mbili tofauti:-Taleban haikuwa jeshi kama JWZ bali chama Cha siasa kama CCM ama CHAUMA. kutaka kiwango kilichotumika Afghanistan ndicho kitumike kumdhibiti Mrusi ni sawa na kusema (indirectly) Taleban na Urusi ni sawa kiuwezo.
 
Blankcheck,, nachomaanisha iwapo ukraine imepewa msaada wa kuzidi bajeti za kijeshi za nchi tatu kubwa,, lakini bado hawajamudu kukomboa nchi yao, inaonyesha wanakabiliwa na mtihani mkubwa sana,,
US alitumia dola trilion 3,afaghnistan na alifail,,
Ngoja tuone
Kwanza umedanganya kuhusu kiwango cha pesa ambacho US kashatumia Ukraine.
2:- US haikuweka amount fulani ya kutumia Ukraine hata tusema kuwa wamevuka kiwango walichojiweka ili kuidhibiti Urusi.

Na kuhusu Afghanistan na Urusi ni case mbili tofauti:-Taleban haikuwa jeshi kama JWZ bali chama Cha siasa kama CCM ama CHAUMA. kutaka kiwango kilichotumika Afghanistan ndicho kitumike kumdhibiti Mrusi ni sawa na kusema (indirectly) Taleban na Urusi ni sawa kiuwezo.
 
Blankcheck,, nachomaanisha iwapo ukraine imepewa msaada wa kuzidi bajeti za kijeshi za nchi tatu kubwa,, lakini bado hawajamudu kukomboa nchi yao, inaonyesha wanakabiliwa na mtihani mkubwa sana,,
US alitumia dola trilion 3,afaghnistan na alifail,,
Ngoja tuone
Kwanza umedanganya kuhusu kiwango cha pesa ambacho US kashatumia Ukraine.
2:- US haikuweka amount fulani ya kutumia Ukraine hata tusema kuwa wamevuka kiwango walichojiweka ili kuidhibiti Urusi.

Na kuhusu Afghanistan na Urusi ni case mbili tofauti:-Taleban haikuwa jeshi kama JWZ bali chama Cha siasa kama CCM ama CHAUMA. kutaka kiwango kilichotumika Afghanistan ndicho kitumike kumdhibiti Mrusi ni sawa na kusema (indirectly) Taleban na Urusi ni sawa kiuwezo.
 
Kwanza umedanganya kuhusu kiwango cha pesa ambacho US kashatumia Ukraine.
2:- US haikuweka amount fulani ya kutumia Ukraine hata tusema kuwa wamevuka kiwango walichojiweka ili kuidhibiti Urusi.

Na kuhusu Afghanistan na Urusi ni case mbili tofauti:-Taleban haikuwa jeshi kama JWZ bali chama Cha siasa kama CCM ama CHAUMA. kutaka kiwango kilichotumika Afghanistan ndicho kitumike kumdhibiti Mrusi ni sawa na kusema (indirectly) Taleban na Urusi ni sawa kiuwezo.
Taliban ilikua jeshi sio chama bro,, Talibani ndio walipindua akina AbdullRashid Dostam, hkimatyar na kuunda serikali,,
Pale ukraine, mmarekani atatumia pesa zaidi ya alizotumia Afaghnistan mara dufu
 
Unacherry pick, sasa ulifikiri Russia alienda ukraine picknik?, Walienda vitani, na vitani watu hupigana,, wote tulishuhudia Russia akiukamata uwanja mkuu wa ndege wa Antonov,, wote tulishuhudia msafara wa km 40 wa magari ya kijeshi ya Russia yakiwa yamepaki nje ya mji wa mkuu wa ukraine, kwa takribani wiki na ushee, mpaka watu wakawa wanashangaa nini kinaendelea, in short jesh la Russia walikua wanagonja order ya ku proceed kuingia kiev,
Amri iliyotoka ni Pull back,, change of plan

Ha ha ha unanikumbusha disaster ya kutaka kuteka uwanja wa ndege pale Mrusi alipoteza 400 special soldiers kwa mkupuo.
Kuhusu Mrusi kuingia mji mkuu hiyo ilikua mtego, kaachiwa aingie kichinjioni, walichofanyiwa kitaandikwa kwenye vitabu vya historia, kufyekwa mpaka raha.
Kiukweli niliogopa sana nilipoona huo msafara mwanzo, sema kumbe Warusi walikua wanatumia mbinu za WlI kwenye vita vya kisasa, nilikua nafungua nyuzi humu walivyokua wanafyekwa hadi nilikua sipati usingizi.
 
Back
Top Bottom