Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Kuuawa general sio ishu,, isitoshe general wa Russia anaenda front, huwezi linganisha na general wa marekani anaebaki nyuma.Hiv unajua mpaka sasa mageneral wangap wa kirusi wameuwawa wewe au unaongea tu.
Russia wako na endurance, they can take casualties na wakasonga mbele, nchi za magharibi hawawezi kutake casualties