Romy Jones ndani ya bifu zito na Lamata!

Romy Jones ndani ya bifu zito na Lamata!

Nifah siku hizi umekuja kivingine.

Baada ya kimya ya muda mrefu, umekuwa active sana jukwaani.

Je, huu ni mpango Mkakati?
Mzee baba Habib, alikuja huku. Akatengeneza jina na sasa anapiga hela nje ya ulingo JF.

Waweza kukataa, lakini ukweli ni kuwa JF kulimjenga sana Bw. Anga.

It clicks on my mind, is this a marketing Strategy? Wabongo wanapenda sana umbea, ujijengee jina humu kisha baadae uenende nje ya ulingo kujipakulia minyama.

By the way, si jambo baya. Nakutakia kila la kheri. Nauzimia sana mpangilio wako, hauna mambo mengi. Unaeleweka hata kwa tusiowafahamu wahusika.
Kiukweli, kuna mabadiliko fulani chanya katika maisha yangu ndiyo yamepelekea haya (Ipo siku nitawaambia)

Sina maana yoyote zaidi ya kuwapa watu burudani for free, sina mpango mkakati wowote.
Labda tu kukuza taaluma ninayoipenda zaidi ya uandishi wa habari.

Kama uko makini kuna mabadiliko makubwa katika namna ninavyoandika. Hivi sasa ni tofauti na zamani.

Otherwise, hakuna cha ziada.
Asante sana.
 
Mkataba wao ulikuaje?

Huyo Romy aliingia mkataba pasipokujua kuwa ratiba yake itaathirika?

Vipengele vya Mkataba vinasemaje? Kama akishindwa kutimiza majukumu yake, atalipwa kwa vipande vya awali?

Kakosea sana, utampigiaje muhasibu? Au ndiye meneja wa kampuni baada ya Boss kuwa nje kwa Maternity leave?

Unapewa hela ya mafuta ukaonane na Boss, unakataa. Alitaka nini kingine?

Uswahili haumaanishi ukorofi. Kuendesha mambo kienyeji ndiyo tafsiri halisi ya uswahili.

Pengine huyo Romy ana haiba ya Upole, basi waungwana wanamchukulia kama kanyooka. Ila kwa kitendo hiki, anajidhihirisha wazi ni MSWAHILI pure.
Kwenye suala la mkataba sina taarifa zake…

Kila ofisi Ina utaratibu wake, si unaona huyo muhasibu ndiye aliyemtumia hela aliyoirudisha?

Katika hili RJ anabeba lawama zote.
 
Etiii! Ni ndugu wa damu??
Nifah hebu 'dig' hii story mkuu.

Ila naamini ukiwa na pesa, hata mkoa mzima wote wanakuwa ndugu zako.
Yes, nimesema katika post zilizopita.

Mama zao ni ndugu, na wenyewe wamekiri kila mmoja kuwa Diamond na Romy J walinyonya ziwa moja kwa mama RJ.

Hadi hapo una mashaka tena?
 
Nakuhakikishia hapana, nampenda sana kumuacha na upweke.
Kama ni kusafiri tutasafiri wote, kucheza na hao wajukuu tuletewe nyumbani tucheze nao.

Hii ndio sababu nilipenda kuolewa na mtu ninayempenda, ili tupendane mpaka uzeeni.
Sina maana kwamba nyie hampendani, lah… Ila sioni sisi tukiishi hivyo.

Pole sana Mkuu, tukijaaliwa kila mwisho wa Wiki nitaweka ubuyu upate faraja.
Wewe huenda ukawa wa Kipekee iwapo utakuwa hivyo na mwenzio hadi mtakapokuwa Wazee.

Nikijaaliwa Umri wa Mzee Mwinyi basi nitakukumbusha jambo hili miaka 30 ijayo, maana ndiyo umri natagemea mtakuwa tayari mna Wajukuu na mwenzako.

Kusema kweli Upweke katika Umri wa Uzee ni jambo linalokatiza maisha ya Wazee wengi baada ya Kustaafu, japo zinatajwa sababu nyingine pia.

Nashukuru kwa hiyo zawadi ya Ubuyu ya kila wiki, hopefully itafanya weekend yangu kuwa Murua kabisa wakati navuta zangu Kiko kusogeza wakati 🤗
 
Mkuu niombee basi hizi busara awe nazo mkweo uzeeni!

Kwakweli sio ustaadabu na inaumiza sana kwa wanawake kuona waume zao wakihangaika na vitoto umri wa kuwazaa uzeeni!
Nawaombea heri wewe na mwenzako, Muishi kwa hofu ya KiMungu siku zote.

Jambo la kuhangaika na Vijana sio la Wanaume pekee, kuna baadhi ya Wabibi nao hawako nyuma kwenye kupenda dogo dogo.

Unajua baada ya miaka 10 ama 20 ya ndoa, Wanandoa wengi huishi kwa kuzoeana. Hivyo kupelekea hata zile huduma za Ndani kupatikana mara chache ama kutolewa kwa mwezi mara moja ama baada ya miezi 2 ama 3.

Na bahati mbaya zaidi, Mwanamke akishajifungua watoto wawili ama watatu, hamu yake ya kuingiliwa huwa inaongezeka mara dufu. Sasa akikutana na Mume aliyemzoea(Kumkinai) basi atajikuta naye anaanza kuchepuka ili kukidhi hitajio lake la kimwili. Dhambi hii ikiachwa ikue, basi hadi Uzeeni utajikuta unapenda Dogodogo.
 
B… Unakumbuka nilikuambia hiki kitu? Ukajidai kupotezea.
Mdakuzi
Labda nilipitiwa tu b..., siyo kupotezea. Si mnamzungumzia yatima Cecilia? Yule aliyekuwa akisomeshwa kwa msaada Mama JK?

Hii issue ilikuwa wazi, hata ile ofisi ya huyo baba wa mapacha ya pale Biashara Complex ilikuwa ni ya vikao hivyo zaidi.

Ova
 
Labda nilipitiwa tu b..., siyo kupotezea. Si mnamzungumzia yatima Cecilia? Yule aliyekuwa akisomeshwa kwa msaada Mama JK?

Hii issue ilikuwa wazi, hata ile ofisi ya huyo baba wa mapacha ya pale Biashara Complex ilikuwa ni ya vikao hivyo zaidi.

Ova
Heeeeh! B… Mbona unanichanganya sasa? Yani umenipa habari mpya juu ya mpya!

Anyways, asante mjuzi wangu 🙌🏾🙌🏾
 
Back
Top Bottom