Romy Jones ndani ya bifu zito na Lamata!

Romy Jones ndani ya bifu zito na Lamata!

Tafuta dogodogo akuchekeshe,
Huyo bibi kezee utaomba abaki huko mjini mwaka mzima
Kanisa likija kujua kwamba nina dogo dogo litaninyima Sacrament na ndiyo mwanzo wa kutengwa.

Kwa umri huu wa Uzee tunatakiwa kutenda mema na kuongeza ibada, maana hatuna miaka 25 ama 30 mbele ya kuishi kulingana na umri wetu.

Kwahiyo bora niwe najipunguzia upweke kwa kujichatisha humu kutwa kucha kwani Pension yangu bado inanilea.
 
Kanisa likija kujua kwamba nina dogo dogo litaninyima Sacrament na ndiyo mwanzo wa kutengwa.

Kwa umri huu wa Uzee tunatakiwa kutenda mema na kuongeza ibada, maana hatuna miaka 25 ama 30 mbele ya kuishi kulingana na umri wetu.

Kwahiyo bora niwe najipunguzia upweke kwa kujichatisha humu kutwa kucha kwani Pension yangu bado inanilea.
Da wazee kama nyie adimu Sana kuwapata.

Nakunbuka Prof Juma kapuya alikuwa na tuhuma za kumtia Mimba mtoto wa o level
 
Unaweza kuwa sahihi kwa upande wako ila kwa Romy nakataa maana kipindi kile alichovurugana na Diamond akasimamishwa alipauka sana hadi aliporudishwa.
Kutopauka ndo kuwa na hela? Unaweza kuwa na mwonekano mzuri ila usiwe na hela. Nifah unakwama wapi kuelewa mambo madogo kama haya?
 
Da wazee kama nyie adimu Sana kuwapata.

Nakunbuka Prof Juma kapuya alikuwa na tuhuma za kumtia Mimba mtoto wa o level
Uzee ni hekima, huyo Mzee Kapuya alipuyanga kufanya mambo kwa kutanguliza Hisia.

Kwa akili za kawaida huwezi kuwa above 60 then uanze kuhangaika na Wanawake tena Wakuzalie na watoto juu, itakuwa kichwani hazijaenea sawasawa.

Maana ukifanikiwa kuishi umri wa Kibiblia miaka 70 ina maana mtoto wako atakuwa na miaka 9 wakati wewe una miaka 70. Hapo probability ya kumtunza na kumsomesha itakuwa ndogo otherwise uwape mzigo ndugu na jamaa wakulelee jambo ambalo sio sahihi hata kidogo.

Chukulia umeanza kuwajua Wanawake tangu una miaka 20 hadi unafika miaka 60 utakuwa hujamaliza tu hamu zako....

Asiyeshiba kwenye sahani hawezi shiba kwenye Kijiko 😜
 
Nifah siku hizi umekuja kivingine.

Baada ya kimya ya muda mrefu, umekuwa active sana jukwaani.

Je, huu ni mpango Mkakati?
Mzee baba Habib, alikuja huku. Akatengeneza jina na sasa anapiga hela nje ya ulingo JF.

Waweza kukataa, lakini ukweli ni kuwa JF kulimjenga sana Bw. Anga.

It clicks on my mind, is this a marketing Strategy? Wabongo wanapenda sana umbea, ujijengee jina humu kisha baadae uenende nje ya ulingo kujipakulia minyama.

By the way, si jambo baya. Nakutakia kila la kheri. Nauzimia sana mpangilio wako, hauna mambo mengi. Unaeleweka hata kwa tusiowafahamu wahusika.
 
Watengeneze scene RJ awe kama ameenda kusoma Marekani tena ingenoga kweli maana inge waacha watazamaji kwenye suspense kujua kama jamaa atarudi na cheti ama laaaaaaah director ana kwama wapi
At least hii imekaa poa.
 
Mkataba wao ulikuaje?

Huyo Romy aliingia mkataba pasipokujua kuwa ratiba yake itaathirika?

Vipengele vya Mkataba vinasemaje? Kama akishindwa kutimiza majukumu yake, atalipwa kwa vipande vya awali?

Kakosea sana, utampigiaje muhasibu? Au ndiye meneja wa kampuni baada ya Boss kuwa nje kwa Maternity leave?

Unapewa hela ya mafuta ukaonane na Boss, unakataa. Alitaka nini kingine?

Uswahili haumaanishi ukorofi. Kuendesha mambo kienyeji ndiyo tafsiri halisi ya uswahili.

Pengine huyo Romy ana haiba ya Upole, basi waungwana wanamchukulia kama kanyooka. Ila kwa kitendo hiki, anajidhihirisha wazi ni MSWAHILI pure.
 
Amechukua tuzo usiku wa leo, kipengele cha mwigizaji bora wa kiume chaguo la watazamaji, na tamthilia iliyompa ni LOLITA.
 
Oohh hapo nimekupata

Okay kumbe na wewe ni team dark guys, hapo kwenye tall siwezi kusema maana kuna mahali, niliona ulisema kuwa shemeji ana urefu wa kawaida kama wako tu

It Is a good thing though [emoji4][emoji4]
Daaaah nyie watu jamani? 🤣🤣🙌🏾
Yes,
Thanks.
 
Hata wewe Mkuu utakuwa kama huyu Bibi yako ukizeeka, inaonekana mnapenda zaidi kwenda kucheza na wajukuu kuliko kucheza na wenza wenu japo kukumbushia enzi.

Ndiyo maana kwenye kila nyumba 10 basi nyumba 6 unakuta sisi akina Babu tulishatangulia mbele za haki na kuwaacha nyie akina Bibi

Upweke una uma Mkuu 😢
Nakuhakikishia hapana, nampenda sana kumuacha na upweke.
Kama ni kusafiri tutasafiri wote, kucheza na hao wajukuu tuletewe nyumbani tucheze nao.

Hii ndio sababu nilipenda kuolewa na mtu ninayempenda, ili tupendane mpaka uzeeni.
Sina maana kwamba nyie hampendani, lah… Ila sioni sisi tukiishi hivyo.

Pole sana Mkuu, tukijaaliwa kila mwisho wa Wiki nitaweka ubuyu upate faraja.
 
Amechukua tuzo usiku wa leo, kipengele cha mwigizaji bora wa kiume chaguo la watazamaji, na tamthilia iliyompa ni LOLITA.
Anastahili kwakweli, napenda sana utulivu wake wakati akiigiza.
Congratulations RJ.
 
Uzee ni hekima, huyo Mzee Kapuya alipuyanga kufanya mambo kwa kutanguliza Hisia.

Kwa akili za kawaida huwezi kuwa above 60 then uanze kuhangaika na Wanawake tena Wakuzalie na watoto juu, itakuwa kichwani hazijaenea sawasawa.

Maana ukifanikiwa kuishi umri wa Kibiblia miaka 70 ina maana mtoto wako atakuwa na miaka 9 wakati wewe una miaka 70. Hapo probability ya kumtunza na kumsomesha itakuwa ndogo otherwise uwape mzigo ndugu na jamaa wakulelee jambo ambalo sio sahihi hata kidogo.

Chukulia umeanza kuwajua Wanawake tangu una miaka 20 hadi unafika miaka 60 utakuwa hujamaliza tu hamu zako....

Asiyeshiba kwenye sahani hawezi shiba kwenye Kijiko 😜
Mkuu niombee basi hizi busara awe nazo mkweo uzeeni!

Kwakweli sio ustaadabu na inaumiza sana kwa wanawake kuona waume zao wakihangaika na vitoto umri wa kuwazaa uzeeni!
 
Back
Top Bottom