Romy Jones ndani ya bifu zito na Lamata!

Romy Jones ndani ya bifu zito na Lamata!

Asante sana.

Ujue mimi na ujanja wangu wote Romy Jones nilikuwa simjui ndiyo nakuja kumjulia kwako.

Sasa nikikaa na watu na mimi naweza kujisikia mtu, nikamuongelea mpaka Romy Jones 🤣🤣🤣
Basi usijali, wewe usikae mbali na hili jukwaa kwa mwisho huu mwaka utapata kuyajua mengi.
 
Ila wasanii kazi kama hizi waangalie namna ya kuziweka rasmi
Wawe na mikataba na ratiba zinazo eleweka mtu akikiuka sheria na taratibu zifuatwe
Maana itawakuta mpo kwenye scene mtu ataitwa na mama yake nyumbani ata waacha hapo
Umeongea kitu cha msingi sana.
Sina uhakika huko mambo yakoje, yangekuwa hivi maana yake RJ angetakiwa kuwajibika kwa kukiuka mkataba.
 
Kwa wengine huenda ni haba ila sio kwa RJ, yule ni makamu wa Rais wa WCB ujue?
Na DJ rasmi wa Diamond, yuko pazuri.
Mkuu saa nyingine ndugu ndo halipwi kabisa kwa sababu ya kuaminishwa pia yeye ni mmiliki wa WCB. Kuna wakati nilifanya kazi kwa baba mdogo ila nilikuwa wa mwisho kulipwa. Niliondoka mikono mitupu
 
Mkuu saa nyingine ndugu ndo halipwi kabisa kwa sababu ya kuaminishwa pia yeye ni mmiliki wa WCB. Kuna wakati nilifanya kazi kwa baba mdogo ila nilikuwa wa mwisho kulipwa. Niliondoka mikono mitupu
Unaweza kuwa sahihi kwa upande wako ila kwa Romy nakataa maana kipindi kile alichovurugana na Diamond akasimamishwa alipauka sana hadi aliporudishwa.
 
Asante Mkuu, huu mwaka hadi uishe mtasuuzika roho zenu.
Tutafurahi ikiwa hivyo Mkuu, wengine tulishamaliza kulitumikia Taifa hivyo muda mwingi tunapenda kushinda humu katika kupunguza Upweke wakati huu wa Uzee wetu 🤗

Ni mwendo wa Pop 🍿 tu
 
Yes, ni ndugu wa damu maana walinyonya ziwa moja, na mama zao ni ndugu pia.

Bill anaweza asirudi tena huko safarini mkaletewa muhusika mpya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila mimi huwa namkubali, naangaliaga scene zake pekee mara nyingi.
Oohh kwahiyo mama diamond alimnyonyesha pia romy jons au

Dooh wasije wakambadilisha bill kama kipindi kile walivyombadilisha nailah

Bila shaka utakuwa unavutiwa na wanaume weupe, unlike you wanawake wengi wanafuatilia jua kali sababu ya frank (quick rocka), si unajua tena mambo ya tall dark guys
 
Oohh kwahiyo mama diamond alimnyonyesha pia romy jons au

Dooh wasije wakambadilisha bill kama kipindi kile walivyombadilisha nailah

Bila shaka utakuwa unavutiwa na wanaume weupe, unlike you wanawake wengi wanafuatilia jua kali sababu ya frank (quick rocka), si unajua tena mambo ya tall dark guys
Mama Romy ndio alimnyonyesha Diamond na Romy kwa pamoja.

Umekosea, mi na wanaume weupe mbalimbali. Mimi namkubali Romy tu, sio kwa kuvutiwa nae.
 
Mkuu, kwani uzee una upweke hata ukizeeka na mtu unayempenda?
Uzee ni fahari sana Mkuu, shida inakuja pale ambapo ninyi akina Mama muda mwingi mnatumia kwenda kuwasalimia watoto wetu huko Mjini huku mkituacha sisi Wazee wenzenu eti tulinde nyumba.

Mbaya zaidi ukute tulibahatika kupata watoto wa kutosha, basi ukienda Darisalama utaenda kwa mtoto A, baada ya wiki 2 unaenda kwa mtoto B, then C then D.

Kuja kurudi Kijijini tena unakuta baada ya miezi 6.

Fahari yetu sasa ni kuperuzi humu, tukipigana vikumbo na Vijana huku tukiwaelezea historia ya TANU 🤗
 
Uzee ni fahari sana Mkuu, shida inakuja pale ambapo ninyi akina Mama muda mwingi mnatumia kwenda kuwasalimia watoto wetu huko Mjini huku mkituacha sisi Wazee wenzenu eti tulinde nyumba.

Mbaya zaidi ukute tulibahatika kupata watoto wa kutosha, basi ukienda Darisalama utaenda kwa mtoto A, baada ya wiki 2 unaenda kwa mtoto B, then C then D.

Kuja kurudi Kijijini tena unakuta baada ya miezi 6.

Fahari yetu sasa ni kuperuzi humu, tukipigana vikumbo na Vijana huku tukiwaelezea historia ya TANU 🤗
Umeniambia vitu vya msingi sana, hakika sitofanya makosa hayo kwa huyu wangu tukizeeka.

Nashukuru sana Mkuu.
 
Mama Romy ndio alimnyonyesha Diamond na Romy kwa pamoja.

Umekosea, mi na wanaume weupe mbalimbali. Mimi namkubali Romy tu, sio kwa kuvutiwa nae.
Oohh hapo nimekupata

Okay kumbe na wewe ni team dark guys, hapo kwenye tall siwezi kusema maana kuna mahali, niliona ulisema kuwa shemeji ana urefu wa kawaida kama wako tu

It Is a good thing though [emoji4][emoji4]
 
Umenimbia vitu vya msingi sana, hakika sitofanya makosa hayo kwa huyu wangu tukizeeka.

Nashukuru sana Mkuu.
Hata wewe Mkuu utakuwa kama huyu Bibi yako ukizeeka, inaonekana mnapenda zaidi kwenda kucheza na wajukuu kuliko kucheza na wenza wenu japo kukumbushia enzi.

Ndiyo maana kwenye kila nyumba 10 basi nyumba 6 unakuta sisi akina Babu tulishatangulia mbele za haki na kuwaacha nyie akina Bibi

Upweke una uma Mkuu 😢
 
Hata wewe Mkuu utakuwa kama huyu Bibi yako ukizeeka, inaonekana mnapenda zaidi kwenda kucheza na wajukuu kuliko kucheza na wenza wenu japo kukumbushia enzi.

Ndiyo maana kwenye kila nyumba 10 basi nyumba 6 unakuta sisi akina Babu tulishatangulia mbele za haki na kuwaacha nyie akina Bibi

Upweke una uma Mkuu 😢
Tafuta dogodogo akuchekeshe,
Huyo bibi kezee utaomba abaki huko mjini mwaka mzima
 
Back
Top Bottom