Romy Jones tishio jipya la waigizaji wa kiume hapa nchini

Romy Jones tishio jipya la waigizaji wa kiume hapa nchini

Romy Jones au ukipenda muite Jordan , ni muigizaji wa kiume anayekuja kwa kasi sana hapa nchini mpaka kuwa tishio kwa waigizaji wakongwe.

Romy anajua sana kuuvaa uhusika sana sana scene za mapenzi huwa anazipatia balaa na kwa haraka haraka nikiangalia sidhani kama kuna muigizaji wa kiume anayemfikia katika ku act scene za mapenzi.

Mbali na kuwa anajua kuigiza, na muonekano wa kistaa pia una mbeba sana Romy.

View attachment 1012091

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo ni wanafki kiwango cha lami kila siku si nyie mnadai humu jamvini hamuwezi/hauwezi kuangalia bongo movie?,acheni unafki...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimuona huko gram
Nikapenda

[emoji1433][emoji1433][emoji1433]
Asijisahau bali ajiongeze kupaa zaidi
Mwanzo nilifikiri nina matatizo ya macho[emoji16][emoji16] hivi avatar yako inacheza enhe?[emoji848][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

"fᵒˡˡᵒʷ ᵐʸ ˡᵉᵃᵈ ᴵ ˢᵘᵖᵖˡʸ ᵉᵛᵉʳʸᵗʰⁱⁿᵍ ʸᵒᵘ ⁿᵉᵉᵈ"
 
Mwanzo nilifikiri nina matatizo ya macho[emoji16][emoji16] hivi avatar yako inacheza enhe?[emoji848][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

"fᵒˡˡᵒʷ ᵐʸ ˡᵉᵃᵈ ᴵ ˢᵘᵖᵖˡʸ ᵉᵛᵉʳʸᵗʰⁱⁿᵍ ʸᵒᵘ ⁿᵉᵉᵈ"

Ndio 😁
Inatoa ujumbe kwa inaowahusu...
 
Kumbe na yeye muigizaji
Ila wewe mleta mada acha unazi unamuitaje staa wakati hana hata kimoja anachofanya cha kumtambulisha hadi wewe mwenyewe umeshindwa hata kutaja hizo filamu alizoigiza ungeniambia MADEBE LIDAI ningekuelewa siyo huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom