DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
mkuu huyo messi unaye. mzumgumzia hapa aliwapiga Madrid ya capelo goal 3 mguuni akiwa anatokea benchi team ya Madrid ikiwa na kina zidane .nahao kina r .carlos na yule beki wao RAIA wa Italia aliyewahi kuchukua balloon Dior na Madrid ilikuwa inaongoza goal 3 bila messi alivyoingia kipndi cha pili akarejesha zote mechi ikawa draw ..tangu siku hiyo mpka leo Fabio capelo ana amini hakuna mchezaji bora kuwahi kutokea chini ya hili jua zaidi ya messi.messi huyo huyo alimdhalilisha Paul schols kwakumpiga matobo kama mtoto mdogo ..nanina dhani sifa ya scholsc dhid yakuwa kiungo mkabaji bora unaijua vyema...sasa wataka mabeki gani tena waje kumkaba au kutoka mars hahaaa
Messi sio binadamu. Haters wenyewe wanakiri. Isipokuwa ubishi usiokuwa na maana.