Yaan mess unamfananisha na de Lima?Wote hao ni panzi kwa MFALME MESSI.
Yani hyo 9 haiwezi tokea kiukweli ,,,jamaa kama tupac ..kiumbe hiki de lima ni hatarDe lima mpaka aliitwa El phenomenon haikuwa kazi rahisi.
Alikuwa na kipaji maridhawa sana, mpaka sasa Dunia haijapata natural number 9 kama Ronaldo De Lima.
Yani ronaldo de lema ni kama tupac vile ,hashindanishwi wazee
King ndio kila kitu babaa. Hakubakiza kitu katika soka. Hao wote nyanya tu.
Nikurekebishe.. de lima hakuwa mmaliziaji, wamaliziaj ni kina inzaghi, chicharito, giroud n.k4-Kwa kutikisa mitako uwanjani gaucho hajambo
3-Kwa selfie na umaliziaji Cr7 hajambo
2-Kwa umaliziaji De lima hajambo
1-KWA DRIBBLING NA MAMBO YOTE KING L10 HAJAMBO
Yaan mess unamfananisha na de Lima?
Hahahaa naikumbuka vizuri hiyo Final World cup 2002 Brazil vs GermanEl Phenomena... Ronaldo
Ukitaka kumjua huyu mtu vizuri mtafute kipa mmoja maarafu sana wa Ujerumani kipindi hicho anaitwa Oliver Khan.
Kwa sifa alizokuwa nazo Khan kipindi hicho hadi akapewa sifa ya ziada kwa kuitwa 'kipa mwenye mikono elfu moja' lakini mbele ya El Phenomena Ronaldo de Lima (mwaka 2002 hiyo) alitepeta balaa
He was jst Phenomenon,a joy to watch,Lakini pia Cr 7 in his 20 's alikua waajabu atakua more appreciated atakapo acha kucheza sokaDe lima alikuwa anaujua mpira, mtu wa kazi, control, skills za kumwaga, speed anayo, akitaka lake atalipata, sio mtu wa kuguswa na kuanguka anguka kama anadege dege kabla ya pancha yake, alikuwa na target, alikuwa na stamina..
Niliinjoi mnoo kumtazama uwanjan, mara kwa mara narudia baadhi ya game zake.. huyu mtu ni hatari namba 9 bora toka nianze kutizama mpira.
Hakumuona De Lima huyo,He was a complete package of a strikerNikurekebishe.. de lima hakuwa mmaliziaji, wamaliziaj ni kina inzaghi, chicharito, giroud n.k
De lima alikuwa zaidi ya umfikiriavyo wewe, alikuwa na driblling nzur, ana vitu mguuni, control imelala, vibaiskeli sijui takataka gani alikuwa anavyo mguuni, na mwisho ndio mfungaji..
Mtafute popote alipo ukamuombe radhi..
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Kabisa mkuu nikufumBa macho Naona picha amenyoosha kidole baada ya kufUngADe lima alikuwa anaujua mpira, mtu wa kazi, control, skills za kumwaga, speed anayo, akitaka lake atalipata, sio mtu wa kuguswa na kuanguka anguka kama anadege dege kabla ya pancha yake, alikuwa na target, alikuwa na stamina..
Niliinjoi mnoo kumtazama uwanjan, mara kwa mara narudia baadhi ya game zake.. huyu mtu ni hatari namba 9 bora toka nianze kutizama mpira.
Sikatai, wala sio kwamba nampinga cr7, ni mchezaji mzuri hasa linapokuja suala la kujituma, wenger aliwahi kusema he is a true definition of an athlete, ni kiigizo chema kwa vijana wote wanaohitaji, sijaona mcjezaji mjanja kama yeye hasa linapokuja suala la kujiposition apaye kufunga, cf7 namheshimu sababu anajitambua, alitambua ule mpira wake wa kuhangaika hangaika na vibaiskel vyake popote labda a asingefika popote angeishia kuwa kama luis nani, akajiongeza ndio huyu cr7 tuliyenae sasa hiv, sijawah kumponda, simchukii namkubali kama mchezji mzur sana, huwa nafurah kumtazama.He was jst Phenomenon,a joy to watch,Lakini pia Cr 7 in his 20 's alikua waajabu atakua more appreciated atakapo acha kucheza soka
Namkubali mnoo messi ila usimletee dharau hizo de lima, nafurah wote nimewatizama vizuri tu hakuna niliyesimuliwa, nakwambia hivi hakuna kama de lima ile ni namba 9 hatari na sijui tutampatia wapi kama yule.Maradona, pele, stefano na zindine zizo hawajamfikia KING LION___sembuse hao watoto wa juzi.
Jamaa unaujua mpira na umeuangalia.sana, mjadara.unakuwa mtamu ukikutana na anaye jua kama weweNamkubali mnoo messi ila usimletee dharau hizo de lima, nafurah wote nimewatizama vizuri tu hakuna niliyesimuliwa, nakwambia hivi hakuna kama de lima ile ni namba 9 hatari na sijui tutampatia wapi kama yule.
Messi ni most complete player in dribbling n passing, kuna aina ya mfumo unambeba unaona national team wakat mwingine huwa anahangaika sana, na ndio maana kuna wapinzani wake wanakwambia messi si mchezji, oohh, sijui kacheza hapo hapo, sikatai, jaribu kumuweka messi katika mfumo wa mourinho uone tabu yake.. ila de lima ni zaid ya umfikiriavyo kamtizame upya..[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
[emoji35] [emoji35] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Kile ni kipaji kabisa MkuuYani hyo 9 haiwezi tokea kiukweli ,,,jamaa kama tupac ..kiumbe hiki de lima ni hatar