Ronaldo de lima(The Real Ronaldo), Ronaldo de asis moreira(Gaucho) na Christiano Ronaldo nani mkali?

Ronaldo de lima(The Real Ronaldo), Ronaldo de asis moreira(Gaucho) na Christiano Ronaldo nani mkali?

El Phenomena... Ronaldo
Ukitaka kumjua huyu mtu vizuri mtafute kipa mmoja maarafu sana wa Ujerumani kipindi hicho anaitwa Oliver Khan.

Kwa sifa alizokuwa nazo Khan kipindi hicho hadi akapewa sifa ya ziada kwa kuitwa 'kipa mwenye mikono elfu moja' lakini mbele ya El Phenomena Ronaldo de Lima (mwaka 2002 hiyo) alitepeta balaa

Huyo ni nyanya kwa KUN AGUERO.
 
nyoo..kale chipsy snack..mourinho anamuita the real ronaldo sio Christina wako,MTU wa mpira kazi,anaweza kila kitu,chenga,stamina,mbio,ball control,target,ila kwa uzanduuzandu gaucho mtamu..yaan stress lazma ziishe

King ndio kila kitu babaa. Hakubakiza kitu katika soka. Hao wote nyanya tu.
 
Watoto wa siku hizi watakwambia kwamba hawamjuhi de lima
 
De lima mpaka aliitwa El phenomenon haikuwa kazi rahisi.

Alikuwa na kipaji maridhawa sana, mpaka sasa Dunia haijapata natural number 9 kama Ronaldo De Lima.
 
Athuman Idd Chuji..

Kati ya hao wote uliowataja hakuna aliyewahi kufikia kiwango cha huyu mtu tofauti yao ni kwamba wao wamezaliwa kwa watu wanaojielewa zaidi yetu..

Huyu Chuji baada ya mechi kuisha kati ya Ivory coast na Tz, Yahya Toure akamuuliza kwanini hauchezi Ligi za Uingereza.??
Saizi yuko wapi huyo chuji?
 
RONALDINHO GAUCHO aka DaDa aka Manjino aka Mkata Mauno aka Manywele.....hii silaha ni ya Hatari sanA
 
f0ea0d7686ea53c1b1731d8a7fbac39b.jpg

RONALDINHO GAUCHO aka MANJINO....Baada ya hii mechi inasemekana Salgado alistaafu
 
Kila mmoja ni mkali kwa wakati wake,

Ronaldo de Lima alicheza kipindi kinachoaminika kuwa na mabeki Wa kawaida tofauti na sasa, mabeki Wa sasa so rahisi kuwalinganisha na mabeki Wa zamani,

Hapa hakuna usawa katika kumpata alie bora zaidi ya mwenzake zaidi ya mapenzi binafsi

Me nadhani kila mmoja ni bora katika muda/kipindi chake
 
Umekuja jukwaa la sports ututapeli si ndio?
 
Back
Top Bottom