- Thread starter
- #181
Kwann unaoa na huna kitu, maisha yako magumu unaishi kwa shida lakini Ronaldo ana kila kitu hajaoa??Ronaldo ndio nani hadi nimfuate yeye?
Mjomba siku ukisikia Ronaldo analiwa na wewe utaliwa kwasababu mtu mwenye hela analiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann unaoa na huna kitu, maisha yako magumu unaishi kwa shida lakini Ronaldo ana kila kitu hajaoa??Ronaldo ndio nani hadi nimfuate yeye?
Mjomba siku ukisikia Ronaldo analiwa na wewe utaliwa kwasababu mtu mwenye hela analiwa?
Sio Kila ndoa inayofungwa Kuna kusainishana makaratssi, ndoa inafungwa na inafungika na hakuna makararasi Wala nini haya makararasi wameyaweka watu flani kwa mambo wanayoyajua waoHakuna kusainishana makaratasi ya kisheria hapa. Tunaishi wote kama hataki aondoke..
mtu yupo bongo anawaza kuolewa na RonaldoNani alikuambia kuoa ni dili wewe mwanaume mlalahoi? Kipato chako cha mwezi Ronaldo anakipata kwa sekunde 1 tu, lkn mpk leo hajaoa.
Sasa wewe Choka Mbaya kwann unajitafutia stress?
Hebu taja faida za kuoa ambazo asiyeoa kamwe hawezi kuzipata.
View attachment 3188558
Huyu ndiye mchumba wa Ronaldo.