Ronaldo pamoja na kuwa na hela nyingi mpaka leo hajaoa (ana mchumba tu), lakini wewe Pangu Pakavu ushajitwisha majukumu

Ronaldo pamoja na kuwa na hela nyingi mpaka leo hajaoa (ana mchumba tu), lakini wewe Pangu Pakavu ushajitwisha majukumu

Ronaldo ndio nani hadi nimfuate yeye?

Mjomba siku ukisikia Ronaldo analiwa na wewe utaliwa kwasababu mtu mwenye hela analiwa?
Kwann unaoa na huna kitu, maisha yako magumu unaishi kwa shida lakini Ronaldo ana kila kitu hajaoa??
 
Hakuna kusainishana makaratasi ya kisheria hapa. Tunaishi wote kama hataki aondoke..
Sio Kila ndoa inayofungwa Kuna kusainishana makaratssi, ndoa inafungwa na inafungika na hakuna makararasi Wala nini haya makararasi wameyaweka watu flani kwa mambo wanayoyajua wao
 
Nani alikuambia kuoa ni dili wewe mwanaume mlalahoi? Kipato chako cha mwezi Ronaldo anakipata kwa sekunde 1 tu, lkn mpk leo hajaoa.

Sasa wewe Choka Mbaya kwann unajitafutia stress?

Hebu taja faida za kuoa ambazo asiyeoa kamwe hawezi kuzipata.

View attachment 3188558
Huyu ndiye mchumba wa Ronaldo.
mtu yupo bongo anawaza kuolewa na Ronaldo
 
Back
Top Bottom