Ronaldo vs Messi, bado mbili tu


Kwa sasa messi anashikilia rekodi ya hat trick nying kamzidi cr7 1
 

Huyo messi anakutana na timu za epl na bado anaziadhibu unataka afanye nn tena
 
Huyo messi anakutana na timu za epl na bado anaziadhibu unataka afanye nn tena

Mkuu, uliangalia Game ya Man City na Barca? Umeona namna gani Messi alivokuwa anawasumbua Man City, kwa kifupi ni kwamba Messi is unstoppable.
 
Bacra wanacheza na team simple simple ndio mana miss anang'aa
 
We sio mstaarabu. Sie twaongelea mambo ya mpira weye waja na upuuzi hapa...
Achana naye huyo, anasema Barca anacheza na timu nyepesi wakati hii na Ligi na timu ambazo Barca inacheza nazo, Real Madrid nao wamecheza.
Ukimwambia awe anaangalia mpira aanza maneno ya kashfa. Dawa ya Mjinga ni kumnyamazia kimya tuu ili usipoteze mda kwa kubishana nae maneno ya ajabu ajabu.
 
na halafu wanasema epl ngumu kuliko la liga na ukiangalia wachezaji wa la liga wanapokuja epl wanasumbua kupita kiasi mfano d. costa. fabregas . alexis sanches na hata di maria japo kua timu aliokuja imefulia siiwambii tena messi atakapo kuja epl mdsa wote atakua anapiga hart trick labda wamvunje miguu
 
Kwani messi kapiga hat trick ngapi kwa miaka mingapi, ilitakiwa CR7 ndio amfukuze messi sio messi kufukuza hat trick za cr7 kwani yy kacheza la riga mda mrefu kuliko Ronaldo
 
Kwani messi kapiga hat trick ngapi kwa miaka mingapi, ilitakiwa CR7 ndio amfukuze messi sio messi kufukuza hat trick za cr7 kwani yy kacheza la riga mda mrefu kuliko Ronaldo
Wewe punguani kweli hivi kwa akili za kawaida kati ya messi na penaldo nani alianza kucheza soka.
 

Waambie hao, wanabwawaja tu hawajui kuwa Ronaldo ana miaka mingapi hapo la liga? je ukichukua na aliyoyafanya Uingereza itakuwaje? CR7 ana kila kitu cha kumzidi Messi.
 
Wewe punguani kweli hivi kwa akili za kawaida kati ya messi na penaldo nani alianza kucheza soka.


Ronaldo was a midfielder in man utd.After coming to Real madrid he scored 58 goals in 57 games . Better ratio than any one in la liga history.
 
Kwani messi kapiga hat trick ngapi kwa miaka mingapi, ilitakiwa CR7 ndio amfukuze messi sio messi kufukuza hat trick za cr7 kwani yy kacheza la riga mda mrefu kuliko Ronaldo

Messi huwa anacheza kupigania mafanikio ya Timu na si mafanikio binafsi ndio maana yeye anacheza bila kushindana na mtu yoyote yule.
Na Messi anacheza kwa mazingira na maslahi ya aina yoyote ndani ya Timu, hii ni tofauti na Kwa Ronaldo. Ronaldo ni Selfish. Yupo kimaslahi yake Binafsi kuliko timu.
Kwahiyo mda aliokaa Messi Spain amecheza kwa kusaidia timu na si kwa kuwa na nia kubwa sana kupata mafanikio yake binafsi.
 
Tatizo wote mnahesabu magoli tuuu.
Tufanye tunaondoa magoli yao yote tukiassume wako sawa.
Nani anamzidi mwenzake kimpira?
Jibu mnalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…