Rose Manfere, Mshindi wa taji la Miss Tanzania 2020

Unaongelea mitindo bila picha unaakili sawasawa mtoa mada
 
Yametimia mkuu anajiuliza sasa ndio ka reply nin😀
 
waandaaji wa awali walinyang`anywa leseni na sasa yako chini ya kampuni nyingine ambayo haijapata udhamini wala connection kama walizokuwa nayo kina Hashim Lundenga na pia yalianza kupoteza mvuto baada ya mtoto wa alikuwa mbunge wa temeke Sitti Mtemvu kukutwa na kashifa ya kudanganya umri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…