Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Watasema alipie tangazo..Toto lipo vizuri kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watasema alipie tangazo..Toto lipo vizuri kwa kweli
Mzuri sanaHuyu apa
Hakika mkuu, na ndio maana nimetumia nafsi ya kwanza umoja...Hiyo wewe binafsi ila watu wanafatilia sana tu
Mpangilio wa mguu wake inaonesha anaweza kuwa anatoka kanda fulaniNshaweka apo juu
Hahahaha nyie jamani.Mpangilio wa mguu wake inaonesha anaweza kuwa anatoka kanda fulani
Anastahili kushika hatamu ya miss Tz 2020 heko kwakeHuyu apa
Hapana nataka nipite tuIli ukamuoe mzee😁😁
Ni maiti inayotembea.Hivi hili shindano bado lipo?
Mbona halisikiki?
Sikuwaza kabisa kama kuna hilo shindano mpaka nilipoona hii thread hapa JF.
Kuna kitu hakipo sawa.
Kwahiyo huyo dada sio mbongo, mkuu?Wanyarwanda wazuri sana
Utabiri wa NABII MAGEMA.Huyu aindae papuchi kwaajili ya kuchakatwa na simba 🦁 (mond) soon atakuwa mboga huyu😂😂
Yametimia mkuu anajiuliza sasa ndio ka reply nin😀Inashangaza sana muda unavyoenda kwa kasi. Dakika 60 zijazo watu wataanza kujiuliza ni wewe uliyejibu ukiwa juu ya boda au ni mimi? Hahah! Halafu si unajua JF yetu haina feature ya draft save kwahivyo nilitype huku nakusanya facts, Itakuwa poa tu though.
Wow! What an ego booster.Mkuu nenda kwenye kioo sasa hivi kajitazame vizuri.
Naamini you are the most beautiful creature ever.
waandaaji wa awali walinyang`anywa leseni na sasa yako chini ya kampuni nyingine ambayo haijapata udhamini wala connection kama walizokuwa nayo kina Hashim Lundenga na pia yalianza kupoteza mvuto baada ya mtoto wa alikuwa mbunge wa temeke Sitti Mtemvu kukutwa na kashifa ya kudanganya umri1995 Shose Sinare
1996 Saida Kessy
1997 Basila Mwanukuzi
1998 Hoyce Temu
1999 Jacqueline Ntuyabaliwe
2000 Happiness Magese
2001Sylvia Bahame
2003 Faraja Kotta
2004 Nancy Sumari
2005 Wema Sepetu
Baada ya hapa mashindano haya yalipoteza mvuto kbs na wengi walishasahau kama kuna hiki kitu kinaendelea.
Waandaaji wajitathimini kwa hili.
hahaha... mkuu kwanini uniite nabii😃Utabiri wa NABII MAGEMA.
Hivi Tanzania bado kuna hayo mashindano? U r not seriousWatu hawana furaha,wameshindwa kufuatilia!