komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Kukiwa na Simba mkorofi kwenye kundi, wenzake humfukuza na kumtenga. Hapo ndipo huanza kuwinda vinyama vidogo na binadamuYani kila kitu Mbowe, too much. Kwa hiyo mnagombea kwa ajili ya kumtoa mbowe au kukitumikia chama chenu?
Babe cocochanel upo dodoma kwenye mkutano? mimi nipo nimekuja na basi la wasanii.Huyu na kalipwaaaaa
Amerekodi alichossma?
Kwanini ana ng'ang'ania?
Kama unaona haufai basi kubali
Jitulize ujifunze na kujua.Usipaparike kama unachinjwa.Yani kila kitu Mbowe, too much. Kwa hiyo mnagombea kwa ajili ya kumtoa mbowe au kukitumikia chama chenu?
Mbowe ni mbya sana,,ndo maana chama hakichukui dolla
Babe cocochanel upo dodoma kwenye mkutano? mimi nipo nimekuja na basi la wasanii.
Mmh kwa CCM unavoipenda wewe nikajua mwanachamaSipo Dodoma na sikupata mwaliko kwa sababu sina connections..
N.b. Mimi ni Mwana JF na sio mwanachama wa chama chochote
Kwa mbaliii navutiwa kujiunga
Mmh kwa CCM unavoipenda wewe nikajua mwanachama
Uteuzi wa Leo wa Nchimbi huko CCM uwafunze hawa watu kuwa vitu vingine waache muda uamue!! ‘Curiosity killed the cat’ wazungu husema!Hahaha mwanamke akiachwa huwa hanyamazi, ni kawaida.
Mumfariji, asije toa uhai wake.
Mbona wanagombania kutuongoza 😜😜😜kuna Siri gani huko kuongoza wananchi
View: https://youtu.be/pfMrZF7ISCc?si=WHSR_MisNg9yIa0eSikuwahi kufikiri wala kumuona huyu dada kuwa kumbe ni jembe kiasi hiki...
Cha ajabu eti Freeman Mbowe anamfanyia figisu figisu asiwe mwenyekiti wa chama mkoa wa Njombe - CHADEMA..
Honestly, simulizi yake hii kumhusu Freeman Mbowe inachukiza na kusikitisha sana..
Mtazame na msikilize mwenyewe kwenye video clip hii..
Fanya mpango ujiunge tulambe asali bado mapema😄Sio mwanachama naburudika tu humu JF, ningekuwa mwanachama nilivyo lazima ningekuwa na bonge la cheo kumsadidia Rais kazi kujenga taifa.
Eeeh not ringa ila najijua tangu nikiwa chekechea.. CV imeshiba
Moja najua kuvutia watu wafate nayosema.. Eeeeh
Mfano humu 🤣🤣🤣🤣
Usiku mwema
Tuendelee kupata raha ndani ya JF
Safari hii Mbowe katupiwa kila kashfa...
View: https://youtu.be/pfMrZF7ISCc?si=WHSR_MisNg9yIa0eSikuwahi kufikiri wala kumuona huyu dada kuwa kumbe ni jembe kiasi hiki...
Cha ajabu eti Freeman Mbowe anamfanyia figisu figisu asiwe mwenyekiti wa chama mkoa wa Njombe - CHADEMA..
Honestly, simulizi yake hii kumhusu Freeman Mbowe inachukiza na kusikitisha sana..
Mtazame na msikilize mwenyewe kwenye video clip hii..
Sema Mbowe mhuni, sio chadema wote!Chadema ni wahuni
Yeah!...Nahisi huenda Mbowe aliomba mzigo akanyimwa, sasa kisasi ikawa kumlaza njaa huyo mdada.
Huyo Madam ninamjua kimtindo, ni jembe balaaa, kwa hii Chadema, sidhani kama kuna mwanamke jasiri na mwenye msimamo kama huyo.