Yeye ndo kiongozi wa wahuniSema Mbowe mhuni, sio chadema wote!
Lisu ana maridhiano yapi na hao? Mbowe anaaminiwa na machawa wake tuMbona wana CCM akina Msigwa, Slaa na Waitara ndio marafiki wa Lissu?
Ulicho ongea utadhani umekatwa kichwa umebaki na kiwiliwili kwa hiyo kichwa kichwa kina ongea chenyeweYani kila kitu Mbowe, too much. Kwa hiyo mnagombea kwa ajili ya kumtoa mbowe au kukitumikia chama chenu?
Mtu mbadiInaonekana Mbowe ni mtu mbaya sana tumechelewa kumjua
Wafuasi wa Lissu mna kiwanda cha kufyatua matusi na kashfa. Hamuwezi kujenga hoja.Ulicho ongea utadhani umekatwa kichwa umebaki na kiwiliwili kwa hiyo kichwa kichwa kina ongea chenyewe
Wanafahamu, ila wajumbe huwa wanajazana upepo kudhani wana maamuzi.Uteuzi wa Leo wa Nchimbi huko CCM uwafunze hawa watu kuwa vitu vingine waache muda uamue!! ‘Curiosity killed the cat’ wazungu husema!
Waombe msamaha wa nini? Mayemba hana mpinzani ndio maana kashinda 3 mfululizo so hata Mbowe ampeleke nani atashinda kwa kura zipi? Huyo hana cha kuomba msamaha22 baada ya matokeo nyote mtapiga magoti kuomba msamaha
Samia rafiki wa mbowe,unasemaje?Mbona wana CCM akina Msigwa, Slaa na Waitara ndio marafiki wa Lissu?
Tangu uzaliwe,Yani kila kitu Mbowe, too much. Kwa hiyo mnagombea kwa ajili ya kumtoa mbowe au kukitumikia chama chenu?
Sorry ya nini tena unaiweka kwenye tusi la maana?Do you mean everything spoken here is rubbish to you? Really?
Don't you see that, the rubbish itself is you by not being considerate...?
Sina hakika hata kama akili na ufahamu wako unafikia hata robo ya akili na ufahamu wa dada huyu...!!
I am very sorry if I' ve offended you kwa kauli hii..
Mbowe ni mtu wa ajabu sana kumbe, ndo maana wajinga kama YERICKO wamekuwa watwana wa kumuita ALPHA NA OMEGA ndo naanza elewa maana yake .
View: https://youtu.be/pfMrZF7ISCc?si=WHSR_MisNg9yIa0eSikuwahi kufikiri wala kumuona huyu dada kuwa kumbe ni jembe kiasi hiki...
Cha ajabu eti Freeman Mbowe anamfanyia figisu figisu asiwe mwenyekiti wa chama mkoa wa Njombe - CHADEMA..
Honestly, simulizi yake hii kumhusu Freeman Mbowe inachukiza na kusikitisha sana..
Mtazame na msikilize mwenyewe kwenye video clip hii..
Kuwa rafiki na watu walio ccm ,wala sio shida kama upo na vision ndani chama , kuna watu mke yupo ccm ,mme chadema ila wanaishi vizuri tuMbona wana CCM akina Msigwa, Slaa na Waitara ndio marafiki wa Lissu?
Hoja zipi wakati FAM kumbe alikua anaendesha chama kihuni namna hii, aya ndo madhara ya kukaa madarakani mda Mrefu alafu uku umezungukwa na wapambe uchwaraWafuasi wa Lissu mna kiwanda cha kufyatua matusi na kashfa. Hamuwezi kujenga hoja.
Hana chake kabisaUchaguzi huu ukiwa free and fair FAM hawez kushinda
Yericko NyerereMbowe ni mtu wa ajabu sana kumbe, ndo maana wajinga kama YERICKO wamekuwa watwana wa kumuita ALPHA NA OMEGA ndo naanza elewa maana yake .
Nimepata machungu sana, Mbowe afukuzwe uanachama , au arudishe kila aina ya mchango kwa mwanachama aliojitolea , ili abaki na kujimilikisha chama
ujue unamtukana baba yako, I am your real fater.....the other one is a symbol.................Wewe ndio rubbish
Kama huyo Mbowe amefanya "too much" kwa nini kwenye kuzungumzwa iwe "too few". Acha watu wafunguke watutoe tongotongo Sisi wenye macho ya kuungaungaYani kila kitu Mbowe, too much. Kwa hiyo mnagombea kwa ajili ya kumtoa mbowe au kukitumikia chama chenu?
Tatizo lenu hapa JF, ni umri. Mnapenda bado mikiki mikiki na siasa za Shari. Hilo ndilo kosa la Mbowe.Do you mean everything spoken here is rubbish to you? Really?
Don't you see that, the rubbish itself is you by not being considerate...?
Sina hakika hata kama akili na ufahamu wako unafikia hata robo ya akili na ufahamu wa dada huyu...!!
I am very sorry if I' ve offended you kwa kauli hii..
Mbowe ni nyang'au kama walivyo maccm wenzakeAyatollah kaguta nkurunzinza mbowe akiwa mbele ya camera anajifanya mtu mwema
Ila nyuma ya kamera ni nyamera😀😀😀