Rose Mayemba: Nimefukuzwa Makao Makuu kama mbwa na walinzi wa Mbowe. Aeleza Rushwa ya Freeman Mbowe ilivyokwamisha Uchaguzi Mkoa wa Njombe usifanyike

Rose Mayemba: Nimefukuzwa Makao Makuu kama mbwa na walinzi wa Mbowe. Aeleza Rushwa ya Freeman Mbowe ilivyokwamisha Uchaguzi Mkoa wa Njombe usifanyike

Uteuzi wa Leo wa Nchimbi huko CCM uwafunze hawa watu kuwa vitu vingine waache muda uamue!! ‘Curiosity killed the cat’ wazungu husema!
Wanafahamu, ila wajumbe huwa wanajazana upepo kudhani wana maamuzi.
 
Yani kila kitu Mbowe, too much. Kwa hiyo mnagombea kwa ajili ya kumtoa mbowe au kukitumikia chama chenu?
Tangu uzaliwe,
Do you mean everything spoken here is rubbish to you? Really?

Don't you see that, the rubbish itself is you by not being considerate...?

Sina hakika hata kama akili na ufahamu wako unafikia hata robo ya akili na ufahamu wa dada huyu...!!

I am very sorry if I' ve offended you kwa kauli hii..
Sorry ya nini tena unaiweka kwenye tusi la maana?
Tukana na mkalie kimya ajaze mwenyewe.
Wamekuwa wapumbaf sana hawa kuiinterrupt kila hoja za maana zinapotolewa.
Wel done sir. 💪💪💪
 

View: https://youtu.be/pfMrZF7ISCc?si=WHSR_MisNg9yIa0e
Sikuwahi kufikiri wala kumuona huyu dada kuwa kumbe ni jembe kiasi hiki...

Cha ajabu eti Freeman Mbowe anamfanyia figisu figisu asiwe mwenyekiti wa chama mkoa wa Njombe - CHADEMA..

Honestly, simulizi yake hii kumhusu Freeman Mbowe inachukiza na kusikitisha sana..

Mtazame na msikilize mwenyewe kwenye video clip hii..

Mbowe ni mtu wa ajabu sana kumbe, ndo maana wajinga kama YERICKO wamekuwa watwana wa kumuita ALPHA NA OMEGA ndo naanza elewa maana yake .

Nimepata machungu sana, Mbowe afukuzwe uanachama , au arudishe kila aina ya mchango kwa mwanachama aliojitolea , ili abaki na kujimilikisha chama
 
Wafuasi wa Lissu mna kiwanda cha kufyatua matusi na kashfa. Hamuwezi kujenga hoja.
Hoja zipi wakati FAM kumbe alikua anaendesha chama kihuni namna hii, aya ndo madhara ya kukaa madarakani mda Mrefu alafu uku umezungukwa na wapambe uchwara
 
Mbowe ni mtu wa ajabu sana kumbe, ndo maana wajinga kama YERICKO wamekuwa watwana wa kumuita ALPHA NA OMEGA ndo naanza elewa maana yake .

Nimepata machungu sana, Mbowe afukuzwe uanachama , au arudishe kila aina ya mchango kwa mwanachama aliojitolea , ili abaki na kujimilikisha chama
Yericko Nyerere
 
Yani kila kitu Mbowe, too much. Kwa hiyo mnagombea kwa ajili ya kumtoa mbowe au kukitumikia chama chenu?
Kama huyo Mbowe amefanya "too much" kwa nini kwenye kuzungumzwa iwe "too few". Acha watu wafunguke watutoe tongotongo Sisi wenye macho ya kuungaunga
 
Do you mean everything spoken here is rubbish to you? Really?

Don't you see that, the rubbish itself is you by not being considerate...?

Sina hakika hata kama akili na ufahamu wako unafikia hata robo ya akili na ufahamu wa dada huyu...!!

I am very sorry if I' ve offended you kwa kauli hii..
Tatizo lenu hapa JF, ni umri. Mnapenda bado mikiki mikiki na siasa za Shari. Hilo ndilo kosa la Mbowe.
 
Back
Top Bottom