Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Demand ya mashangazi IPO juu sanamashangazi yapo on demand asikuambie mtu[emoji23]
mambo ya kusema 'wakishavuka 30 hawana soko' yamepitwa na wakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demand ya mashangazi IPO juu sanamashangazi yapo on demand asikuambie mtu[emoji23]
mambo ya kusema 'wakishavuka 30 hawana soko' yamepitwa na wakati
😃😀😅Malikia wa mipasho ya kigalatia
Mi nataka nioe mwanamke mwenye umri mkubwa hadi wakikutana na mama yangu kila mmoja anajiuliza nani amsalimie mwenzake.Utoto Raha sana....
Yaani mtu anawezaje kuweka umri wa mwisho wa mtu kuoa ama kuolewa?
Wanaume wenye watoto hawaoi? Inakuwaje mwanamke mwenye watoto kuolewa kwake iwe nongwa??
AiseeeeKaolewa zari mwenye watoto 5, na benteni, a.k.a alimuita FALA, mahari msaafu tu,hongera zake mhando.
Ana upwiruTupunguze wivu?
Hii kuhusu wivu imetokea wapi?
Si imeletwa Tu taarifa ya ndoa?
Umetoa wapi hii wivu??
Kataa ndoa wana maoni gani kuhusu jambo hili?ROSE MUHANDO ACHUMBIWA NA KUTAMBULISHWA UKWENI KAHAMA.
View attachment 2774077
Wiki hii imekuwa wiki ya baraka kwa Malkia wa nyimbo za Injili Tanzania, Rose Muhando baada ya kwenda kutambulishwa ukweni Kahama kwa ndugu wa mchumba wake. Kama wanavyoonekana pichani Rose Muhando akiwa na mawifi zake na mwanaume wa pembeni yake aliyevaa t-shirt rangi nyekundu ndiye mume wake mtarajiwa.
Kama atafanikiwa kuolewa na ndoa ikapita salama basi hii itakuwa ndoa yake ya kwanza kwa mwanamama huyo mwenye watoto watatu ambao amezaa na wanaume tofauti.
Mungu awaongoze na ikawe ndoa ya kheri🙏
AaahàaaMalikia wa mipasho ya kigalatia
🤣 🤣 lishangazi hilo linakupa good sex na pesa juu, fulu mtelezoKataa ndoa wana maoni gani kuhusu jambo hili?
Aahaaaaa,mkuu nitafutie na miye limoja🤣 🤣 lishangazi hilo linakupa good sex na pesa juu, fulu mtelezo
hapo kubali ndoa
Naunga mkono hojaWanawake tafuteni hela,msidhani sisi tu ndo tunatakiwa tutafute,ona sasa Rose kachumbiwa na jamaa bado kabisa,ukija kwa Zari,anatesa miaka na miaka,ni mwendo wa wanaume wadogowadogo tu,malizia kwa mama Dai... aaah! Tafuteni pesa na nyie.
Thanks for the recommendation, ahaaaamie team nyeto
mcheki mshamba_hachekwi anao wengi sana
Tongoza mmoja wa marafiki wa mama yako,yule waliyecheza nae rede.Mi nataka nioe mwanamke mwenye umri mkubwa hadi wakikutana na mama yangu kila mmoja anajiuliza nani amsalimie mwenzake.
Sina wivu, ila ni kama kaolewa na mtoto vile. Ndevu ndo zimemfanya aonekane mkubwa.Hongera kwake
Nyie wakubwa hamumtaki kumuowa afanyaje sasa? Acha anze safari yake ya ndoa sallama salmini heri iwe kwake.Sina wivu, ila ni kama kaolewa na mtoto vile. Ndevu ndo zimemfanya aonekane mkubwa.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Asante sana mke wa kikureshiMalikia wa mipasho ya kigalatia