Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🖕Asante sana mke wa kikureshi
Ukiwa na pesa hata 50 soko halikosekani.mashangazi yapo on demand asikuambie mtu😂
mambo ya kusema 'wakishavuka 30 hawana soko' yamepitwa na wakati
Akiwemo mangeNimejaribu kupiga hesabu ya Ndoa nilizoziona Mwaka Huu hadi kufikia sasa ni Wanawake zaidi ya 25 wameolewa.
Kati yao mabinti wenye miaka 21 hadi 28 (Slay queen) ni 7
Na Wanawake wa miaka 29 hadi 34 ni 9
Wanawake wenye umri wa miaka 35 na zaidi (Mashangazi) kama wanavyofahamika na Vijana wengi ni 9
Huenda Waoaji wengi wanaangalia Akili za Mwanamke(Maturity) katika kufanya maamuzi ya Kuoa, maana Slay queen wengi huwa ni mapepe na hawajui kutulia.
Kwa trend hii ya Ndoa za Mashangazi inaonesha Umri ni namba tu.
Kila la Kheri Rose Mhando, kwenye hatua inayofuata.
Shida mkishazipata tu ndoa mnaanza kuzibomoaNinavyompenda nimefurahi sana.
Mungu akaweke kheri zake ndoa yao iwe na upendo wa kudumu, Amen.
Kila mwanamke anastahili furaha, I’m happy for you Rose.
Bank statement cvKaolewa zari mwenye watoto 5, na benteni, a.k.a alimuita FALA, mahari msaafu tu,hongera zake mhando.
mishangazi ipo ni wewe tu
mic test, mic test overHajatest mitambo kweli huyo!!
Niunganishie limoja mkuumishangazi ipo ni wewe tu
humu jf ndo chimbo lao ni wewe tu kujiongezaNiunganishie limoja mkuu
🤔🤔🤔🤔🤔🤔humu jf ndo chimbo lao ni wewe tu kujiongeza
nenda taratibu don't be creepy🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Say no more
Nishakuelewa
No worriesnenda taratibu don't be creepy
😅🤣mic test, mic test over
Shimo baya la nyoka tu kiongozi 😄Jamaa hajali hata maili?Halafu ukute anaanza tatu bila,kweli mwanaume hachagui shimo
Dah! Naona sifa zote nilizokupa zimekuwa tofauti kabisa na matarajio! 🙁Kwanza umuoze mama'ko, tunao vijana wa Kiislam wapo tayari kumuoa hivyo hivyo na ukatoliki wake, Kiislam hiyo rukhsa.
Ili ukirudi nyumbani kuwe na maadili, isibaki kama ilivyuo sasa, kila mwanamme anaeingia kwa mamako unaambiwa "mwamkie baba'ko".
Kijana wa Kiislam ataanza kumfundisha mama'ko na wewe kuhusu Uislam.
Uislam mwema sana.
Bado hamjasema🤣mashangazi yapo on demand asikuambie mtu😂
mambo ya kusema 'wakishavuka 30 hawana soko' yamepitwa na wakati