Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Jmn dada mange pia kaolewaKaolewa zari mwenye watoto 5, na benteni, a.k.a alimuita FALA, mahari msaafu tu,hongera zake mhando.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jmn dada mange pia kaolewaKaolewa zari mwenye watoto 5, na benteni, a.k.a alimuita FALA, mahari msaafu tu,hongera zake mhando.
Ss hizo 7 za (slay qeen) utaniambia baada ya muda ngapi zitadumu....Nimejaribu kupiga hesabu ya Ndoa nilizoziona Mwaka Huu hadi kufikia sasa ni Wanawake zaidi ya 25 wameolewa.
Kati yao mabinti wenye miaka 21 hadi 28 (Slay queen) ni 7
Na Wanawake wa miaka 29 hadi 34 ni 9
Wanawake wenye umri wa miaka 35 na zaidi (Mashangazi) kama wanavyofahamika na Vijana wengi ni 9
Huenda Waoaji wengi wanaangalia Akili za Mwanamke(Maturity) katika kufanya maamuzi ya Kuoa, maana Slay queen wengi huwa ni mapepe na hawajui kutulia.
Kwa trend hii ya Ndoa za Mashangazi inaonesha Umri ni namba tu.
Kila la Kheri Rose Mhando, kwenye hatua inayofuata.
Jmn kwani huyo mwanaume mnajua maisha yake ya huko nyumaaa🤔😂Shimo baya la nyoka tu kiongozi 😄
Wengi huwa hazidumu, maana Slay Queen ni pasua kichwaSs hizo 7 za (slay qeen) utaniambia baada ya muda ngapi zitadumu....
zingatia maokoto ulitaka aimbe nini ili apige hela?Sikiliza nyimbo zake utagundua anaimba masimango matupu
Huyo mwanaume karogwa sio Bure.
Inategemea ntu na ntu[emoji23][emoji23]mashangazi yapo on demand asikuambie mtu[emoji23]
mambo ya kusema 'wakishavuka 30 hawana soko' yamepitwa na wakati
Na Mariamu Mabiriani anaolewa sijui kataa ndoa wanajisikiaje?Kataa ndoa wana maoni gani kuhusu jambo hili?
Aahaaaa,ebu mwite kiongozi wao aje atupe mwongozoNa Mariamu Mabiriani anaolewa sijui kataa ndoa wanajisikiaje?
Naomba contacts zakeAahaaaa,ebu mwite kiongozi wao aje atupe mwongozo
Nadhani huu ujumbe ndio ulitaka kuufikisha mkuu 😀Kama atafanikiwa kuolewa na ndoa ikapita salama basi hii itakuwa ndoa yake ya kwanza kwa mwanamama huyo mwenye watoto watatu ambao amezaa na wanaume tofauti.
Wewe wasemaNadhani huu ujumbe ndio ulitaka kuufikisha mkuu 😀
NdioWewe wasema
Mange kimambi na mdomo wake kaolewa ndoa ya pili. Dida shaibu ndoa ya 5 au ya 6.Kaolewa zari mwenye watoto 5, na benteni, a.k.a alimuita FALA, mahari msaafu tu,hongera zake mhando.
Score board haijalishiJamaa hajali hata maili?Halafu ukute anaanza tatu bila,kweli mwanaume hachagui shimo