Rose Mhando achumbiwa, atambulishwa ukweni Kahama

Rose Mhando achumbiwa, atambulishwa ukweni Kahama

Nimejaribu kupiga hesabu ya Ndoa nilizoziona Mwaka Huu hadi kufikia sasa ni Wanawake zaidi ya 25 wameolewa.

Kati yao mabinti wenye miaka 21 hadi 28 (Slay queen) ni 7

Na Wanawake wa miaka 29 hadi 34 ni 9

Wanawake wenye umri wa miaka 35 na zaidi (Mashangazi) kama wanavyofahamika na Vijana wengi ni 9

Huenda Waoaji wengi wanaangalia Akili za Mwanamke(Maturity) katika kufanya maamuzi ya Kuoa, maana Slay queen wengi huwa ni mapepe na hawajui kutulia.

Kwa trend hii ya Ndoa za Mashangazi inaonesha Umri ni namba tu.

Kila la Kheri Rose Mhando, kwenye hatua inayofuata.
Ss hizo 7 za (slay qeen) utaniambia baada ya muda ngapi zitadumu....
 
Sikiliza nyimbo zake utagundua anaimba masimango matupu
zingatia maokoto ulitaka aimbe nini ili apige hela?
jifanye unaimba vitu serious uone kama wabongo wanataka vitu hizo
hujiulizi why CCM ni chama chakavu ila still kinaendelea kutuburuza?
kupanga ni kuchagua!
 
Rose mikono yake aliungua?
Any way hongera kwake...wanawake siku hizi menopose si habari ya kushtua wanaume...ilimradi mahali papo....
 
Kaolewa zari mwenye watoto 5, na benteni, a.k.a alimuita FALA, mahari msaafu tu,hongera zake mhando.
Mange kimambi na mdomo wake kaolewa ndoa ya pili. Dida shaibu ndoa ya 5 au ya 6.
Mariam Biriani kavishwa pete juzi.

Halafu wadada wanalalmika kukosa waume, siwaelewi kabisa.
 
Back
Top Bottom