Rose Mhando achumbiwa, atambulishwa ukweni Kahama

Kataa ndoa wana maoni gani kuhusu jambo hili?
 
Wanawake tafuteni hela,msidhani sisi tu ndo tunatakiwa tutafute,ona sasa Rose kachumbiwa na jamaa bado kabisa,ukija kwa Zari,anatesa miaka na miaka,ni mwendo wa wanaume wadogowadogo tu,malizia kwa mama Dai... aaah! Tafuteni pesa na nyie.
 
Wanawake tafuteni hela,msidhani sisi tu ndo tunatakiwa tutafute,ona sasa Rose kachumbiwa na jamaa bado kabisa,ukija kwa Zari,anatesa miaka na miaka,ni mwendo wa wanaume wadogowadogo tu,malizia kwa mama Dai... aaah! Tafuteni pesa na nyie.
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…