Rose Muhando avunja Ukimya. Asema kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Mateso Mpaka lini? Shetani achia

Rose Muhando avunja Ukimya. Asema kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Mateso Mpaka lini? Shetani achia

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.

Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa

Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.

Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.

ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA

Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.

 
Kabla ya yote mimi ni shabiki mkubwa wa Rose Muhando. Tafadhali acha kupotosha, hiki kipande cha video kipo katika video ambayo aliimba Live Rwanda kanisani kwa huyo kijana anayeimba nae anaitwa Frank.

Alienda kufanya tamasha, ndipo kabla ya tamasha akaenda kanisani kwao na Frank kuimba nae maana Frank amekuwa ni kijana anayempenda sana na kumfuatilia Rose.

Hii video ni mwanzoni kabisa mwa mwaka jana.

Masuala ya bandari hayakubaliki ila twende na facts.
 
Kabla ya yote mimi ni shabiki mkubwa wa Rose Muhando. Tafadhali acha kupotosha, hiki kipande cha video kipo katika video ambayo aliimba Live Rwanda kanisani kwa huyo kijana anayeimba nae anaitwa Frank.

Alienda kufanya tamasha, ndipo kabla ya tamasha akaenda kanisani kwao na Frank kuimba nae maana Frank amekuwa ni kijana anayempenda sana na kumfuatilia Rose.

Hii video ni mwanzoni kabisa mwa mwaka jana.

Masuala ya bandari hayakubaliki ila twende na facts.
Mtu akikuchukia atakutungia kila aina ya uzushi ili tu uchafuke.
 
Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyimbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo.

Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie
View attachment 2755959
Hii ni collection kwani huu wimbo upo muda mrefu nadhani hata kabla Jpm kuwa Rais
 
Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyimbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo.

Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie
View attachment 2755959
Huyo jamaa ana sauti ya dhahabu
 
Back
Top Bottom