Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
We jamaa ni mwongo sana. Kwani huo urithi anaozungumzia ndio hizo bandari au urithi wa uzima wa milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiimani udhaifu nao ni sifa za shetani.Shetani anapakaziwa mengi haya mengine ni madhaifu ya binadamu tu
Mungu wa Tanganyika yupo haiRose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959
Mungu amlinde Rose Muhando!!Kasema kwel kbs ila ngoja uvccm waje wakiongozwa na geshi ra porishi!!! Utasikia tu mara uchochez, anaondoa utulivu, anahatarisha aman ya Nchi 🤣🤣🤣🤣
Hakuna kitu kinachomshinda Mungu! Mungu kamwokoa!Rose Muhando kaacha lini Ngada?
Alafu cha ajabu sasa huyo shetani mwenyewe wala hayupo,,,hajawahi kuwepo na hatakuwepo kamwe!!Shetani anapakaziwa mengi haya mengine ni madhaifu ya binadamu tu
Mzee wa Msoga ameisikia!Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959
Mzee wa Msoga ameisikia!
Na huyu atakamatwa kama yule wa MbeyaHerode alimkamata Yahana mbatizaji akamkata kichwa. Herode akaona ni mchezo mzuri akamkamata na Petro!! Mungu kamwambia kumbe haunijui!! Akamtoa Petro gerezani kwa kutumia malaika!! Na hapa atasema kumbe haunijui, kitakachotokea bado ni siri yake!
Kabisa ile wamepiga ya kichwa hadi wameshindwa kupumuaIle pini ya "Manyani" ndio noma yao
Kwakua Teknolojia ni shahidi wa kweli asodanganya na kwamba wewe ni mfatiliaji mzuri na Mpenzi wa Rose Muhando, kindakindaki yaan huwez pitwa na tukio la Rose Muhando.Unafikiri kwa nini nilisema kabla ya yote…? Ni kwamba kila nilichokisema nakifahamu vyema. Yes, ni Rwanda.
Unadhani watu wote wanaogopa kukaa gerezani? utawafunga mili yao lakini huwezi kuwafunga akili na mawazo yao, Mdude, Mwambusi, Dr Slaa, Madeleka, Lissu mbona bado wapo na hawaogopi?Mliisha ambiwa uchochezi nyuma ya pazia la dini hautavumiliwa au atakabidhiwa debe lake na kupumzishwa gerezani mpaka akili zikae sawa.
Hata Chama kikongwe nao hiyo ndio mbinu yao kuu !! 🙏🙏Mtu akikuchukia atakutungia kila aina ya uzushi ili tu uchafuke.
And freedom of speech !🙏Sio kwamba nae atashikwa na mapolisi halafu waseme ni "uchochezi" na baadae waseme ni "kudanganya" au ataambiwa "anaitomasatomasa" serikali kama tulivyoaminishwa na Waziri Mchengerwa.
Freedom of expression.
Ngoja Majini "WEMA" waje.Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959
Ngoja Majini "WEMA" waje....Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959
yuko very smart kwenye uharibifu!Shetani yuko very smart bwashee
Ndo yapi?Ngoja Majini "WEMA" waje.
Ngoja Majini "WEMA" waje....