kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
John hujaolewa hapo kwambaShetani anapakaziwa mengi haya mengine ni madhaifu ya binadamu tu
Shetani ni ccm na serikali yake (mchwa)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
John hujaolewa hapo kwambaShetani anapakaziwa mengi haya mengine ni madhaifu ya binadamu tu
Ndio uhuru wa manyani huo . Hongera samia kwa kuruhusu kila mtanzania atoe maoni yake nilikua sijui kama rose muhando yupo
kichaa weweusituletee ujinga wako humu baada ya kudanga huoni chini ya bibi kidude nchi inaangamia umeme umezimika majizi kama nyie mnahongwa Kuja kutupigia kelele vitu vimepanda bei kupe ni wengi isipime vijana wa Pwani vilaza wala mihogo ya pilipili na wapaka hinaa mtuambie nini nyie nchi imewashinda wekeni mbali kabisa ujinga wenu wa kutuharibia nchi kwa kuhongwa hongwa hovyo nyambaaafexpand...
Huu wimbo ni wa zamani sana hata kabla Samia hajawa rais kwa hiyo hauhusiani kabisa na bandariNdio uhuru wa manyani huo . Hongera samia kwa kuruhusu kila mtanzania atoe maoni yake nilikua sijui kama rose muhando yupo
Hatuangalii wimbo umeimbwa lini na wapi...Kabla ya yote mimi ni shabiki mkubwa wa Rose Muhando. Tafadhali acha kupotosha, hiki kipande cha video kipo katika video ambayo aliimba Live Rwanda kanisani kwa huyo kijana anayeimba nae anaitwa Frank.
Alienda kufanya tamasha, ndipo kabla ya tamasha akaenda kanisani kwao na Frank kuimba nae maana Frank amekuwa ni kijana anayempenda sana na kumfuatilia Rose.
Hii video ni mwanzoni kabisa mwa mwaka jana.
Masuala ya bandari hayakubaliki ila twende na facts.
Cheti cha kuzaliwa kabla ya uhuru akiandaeKasema kwel kbs ila ngoja uvccm waje wakiongozwa na geshi ra porishi!!! Utasikia tu mara uchochez, anaondoa utulivu, anahatarisha aman ya Nchi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wameokoteza wanasiasa na watu mlioona maarufu wooote wakaisha, mkaokoteza na Maaskofu Katoliki, mmesomeana Waraka Makanisani weeeeee, sasa mmehamia kuokoteza na waimba injili!Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959
Angeunga mkono bandari hata humu msingeletaRose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959
Sir John Roberts na wanaofanana na yeye inawezekana kabisa kuwa hawajahongwa ila wako hivyo Kwa sababu ya ujinga na kutoelewa..kichaa weweusituletee ujinga wako humu baada ya kudanga huoni chini ya bibi kidude nchi inaangamia umeme umezimika majizi kama nyie mnahongwa Kuja kutupigia kelele vitu vimepanda bei kupe ni wengi isipime vijana wa Pwani vilaza wala mihogo ya pilipili na wapaka hinaa mtuambie nini nyie nchi imewashinda wekeni mbali kabisa ujinga wenu wa kutuharibia nchi kwa kuhongwa hongwa hovyo nyambaaaf
Kweli kabisa,Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959
Iwe Rwanda au kakonko,Unafikiri kwa nini nilisema kabla ya yote…? Ni kwamba kila nilichokisema nakifahamu vyema. Yes, ni Rwanda.
Sasa wapi kasema kuhusu Bandari??!Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959
Hata CCM ni shetani mdogoShetani anapakaziwa mengi haya mengine ni madhaifu ya binadamu tu
Huyu si ndo yule muuza madawa ya kulevya kwa jina la yesu auRose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959
Utakuja kunielewa tu .so far samia she's doing good despite some minor discrepanciesSir John Roberts na wanaofanana na yeye inawezekana kabisa kuwa hawajahongwa ila wako hivyo Kwa sababu ya ujinga na kutoelewa..
Hawa wakifunguliwa akili na ufahamu, obvious wataelewa maana hata wewe Nigrastratatract nerve wakati fulani ulikuwa hivyo, ulipoelewa ukawa upande wa HAKI..
Mamawee...Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959
Utapata tabu sana mpaka ifike 2030kichaa weweusituletee ujinga wako humu baada ya kudanga huoni chini ya bibi kidude nchi inaangamia umeme umezimika majizi kama nyie mnahongwa Kuja kutupigia kelele vitu vimepanda bei kupe ni wengi isipime vijana wa Pwani vilaza wala mihogo ya pilipili na wapaka hinaa mtuambie nini nyie nchi imewashinda wekeni mbali kabisa ujinga wenu wa kutuharibia nchi kwa kuhongwa hongwa hovyo nyambaaaf
Haogopi kutekwa ?Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959
Hongera sana Rose hii nchi shetani kaishikiria mafisadi wameikamata.Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959