mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Vp basata watamuita auNdio uhuru wa manyani huo . Hongera samia kwa kuruhusu kila mtanzania atoe maoni yake nilikua sijui kama rose muhando yupo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp basata watamuita auNdio uhuru wa manyani huo . Hongera samia kwa kuruhusu kila mtanzania atoe maoni yake nilikua sijui kama rose muhando yupo
Kenya au Rwanda? Kuna Mnyarwanda anayewwza kuimba wimbo wenye mashairi ya hivyo kweli hata kama anamuimba 'Shetani?'Kabla ya yote mimi ni shabiki mkubwa wa Rose Muhando. Tafadhali acha kupotosha, hiki kipande cha video kipo katika video ambayo aliimba Live Rwanda kanisani kwa huyo kijana anayeimba nae anaitwa Frank.
Alienda kufanya tamasha, ndipo kabla ya tamasha akaenda kanisani kwao na Frank kuimba nae maana Frank amekuwa ni kijana anayempenda sana na kumfuatilia Rose.
Hii video ni mwanzoni kabisa mwa mwaka jana.
Masuala ya bandari hayakubaliki ila twende na facts.
Yuko Kenya hawampatiKasema kwel kbs ila ngoja uvccm waje wakiongozwa na geshi ra porishi!!! Utasikia tu mara uchochez, anaondoa utulivu, anahatarisha aman ya Nchi 🤣🤣🤣🤣
😆😆😆😆😆Rose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyimbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo.
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie
View attachment 2755959
Unafikiri kwa nini nilisema kabla ya yote…? Ni kwamba kila nilichokisema nakifahamu vyema. Yes, ni Rwanda.Krnya au Rwanda? Kuna Mnyarwanda anayewwza kuimba wimbo wenye mashairi ya hivyo kweli hata kama anamuimba 'Shetani?'
Huu wimbo aliimba kitambo sanaRose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyimbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo.
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie
View attachment 2755959
Nyimbo nzuri lakini au mdau unasemajeChadema porojo zenu za bandari zimebuma mpaka mnaanza kulisha maneno watu maarufu ili malengo yenu ovu yaonekane yanaungwa mkono na kila mtu.
Yupo Kenya nadhani.Vp basata watamuita au
Ova
Madhaifu gan wee mzee? Mna mfumo mbovu wa utawala uliojaa ufisadi,wizi wa rasilimali za Taifa na ubadhirifu!! Haya sio madhaifu bali wizi!!Shetani anapakaziwa mengi haya mengine ni madhaifu ya binadamu tu
Sio kwamba nae atashikwa na mapolisi halafu waseme ni "uchochezi" na baadae waseme ni "kudanganya" au ataambiwa "anaitomasatomasa" serikali kama tulivyoaminishwa na Waziri Mchengerwa.Ndio uhuru wa manyani huo . Hongera samia kwa kuruhusu kila mtanzania atoe maoni yake nilikua sijui kama rose muhando yupo
Audio please...Ile pini ya "Manyani" ndio noma yao
Umemalizia vizuri sanaaKabla ya yote mimi ni shabiki mkubwa wa Rose Muhando. Tafadhali acha kupotosha, hiki kipande cha video kipo katika video ambayo aliimba Live Rwanda kanisani kwa huyo kijana anayeimba nae anaitwa Frank.
Alienda kufanya tamasha, ndipo kabla ya tamasha akaenda kanisani kwao na Frank kuimba nae maana Frank amekuwa ni kijana anayempenda sana na kumfuatilia Rose.
Hii video ni mwanzoni kabisa mwa mwaka jana.
Masuala ya bandari hayakubaliki ila twende na facts.
Binadamu hajaumbwa awe mwizi, huo ni udhaifuMadhaifu gan wee mzee? Mna mfumo mbovu wa utawala uliojaa ufisadi,wizi wa rasilimali za Taifa na ubadhirifu!! Haya sio madhaifu bali wizi!!
monde arabeNoma sana!
Huyo jamaa bado yupo hai na anadundika mitaani?Unafikiri kwa nini nilisema kabla ya yote…? Ni kwamba kila nilichokisema nakifahamu vyema. Yes, ni Rwanda.
Mh Samia anatuona manyani tuRose Muhando avunja Ukimya swala la Bandari. Kwenye Nchi yetu tumekuwa Watumwa, Nyumbani kwetu wenyewe tumekuwa wageni. Mateso Mpaka lini? Urithi wetu wenyewe tumekuwa omba omba. Tunaishi kwa mashaka kama watoto wa Kambo. Kwenye nchi yetu wenyewe tumekuwa Watumwa.
Haki zetu wenyewe nazo tumenyang'anywa
Sasa safari hii tumejua. Tutapiga mpaka kieleweke.
Kumbe shetani umekalia mafanikio yetu.
ACHIA.. BARAKA ZETU ACHIA
Rose Muhando ni Malikia wa nyimbo za injili kwa miaka zaidi ya 20. Rose ameweza kufikisha ujumbe mzuri sana. Mwenye sikio na asikie.
View attachment 2755959