leonaldo JF-Expert Member Joined Oct 26, 2014 Posts 2,583 Reaction score 3,182 Sep 21, 2023 #81 Kule kwetu Cuba huwa tunaita kuunganisha doti. Doti ikivaana basi ndio hivyo mtatumia Maneno elfu kuinasua doti moja, haya pambaneni vijana wangu 16% Ila mnasikika!!!🤣🤣🤣
Kule kwetu Cuba huwa tunaita kuunganisha doti. Doti ikivaana basi ndio hivyo mtatumia Maneno elfu kuinasua doti moja, haya pambaneni vijana wangu 16% Ila mnasikika!!!🤣🤣🤣
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Sep 21, 2023 #82 Muda utaongea...
U uwe hodari JF-Expert Member Joined Dec 16, 2022 Posts 4,045 Reaction score 8,608 Sep 21, 2023 #83 Mungu mbariki Rose muhando Anaakili sana huyu dada ana uwezo wa kuwa Rais na kufanya vizuri kuliko yule aliyeingia kibahati anaetaka kuuza nchi kwa waarabu
Mungu mbariki Rose muhando Anaakili sana huyu dada ana uwezo wa kuwa Rais na kufanya vizuri kuliko yule aliyeingia kibahati anaetaka kuuza nchi kwa waarabu