Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
wengine huwa ni after the fact na kushikana mashati mpaka mahakamani ila ndio hivyo sometime mtu kufuatilia anaona kwamba inaweza kuwa kesi ya mbuzi unauza ngombe hence anaamua kupotezea au anashukuru tu kwamba an otherwise forgotten song is back to the limelightHuruhusiwi ku sample wimbo wa msanii bila ruhusa yake, hawa wote waliofanya hizo sampo walipata kibali kutoka Team ya usimamizi wa kazi za hao wasanii,