Rose Muhando mwizi wa wimbo wa Michael Jackson

Rose Muhando mwizi wa wimbo wa Michael Jackson

Rose Muhando dawa yako iko jikoni inachemka siku sio nyingi utainywa.

Huyu muimbaji Rose Muhando pamoja na kujisifu kuwa ni mcha Mungu kumbe ni mwizi. Dhambi hii uliyoifanya kwa Michael Jackson itakuchoma hapa hapa duniani kupitia Team nzima ya usimamizi wa kazi za Michael Jackson.

Baada ya kazi ya utunzi wa nyimbo za injili kukushinda ukaona afadhali uibe wimbo wa Michael Jackson - "Will You Be There" ukausampo na producer wako mjinga asiyefahamu makucha ya Wamarekani yalivyomakali mkadanganyana mtengeneze Rose Muhando - "You Are My Mountain"

Ninyi watu mnaojinadi kuwa wacha Mungu ndio mnaongoza kwa maovu mabaya yanayowashinda Wapagani. Rose nakupa taarifa kuwa Marekani huwa hawaibiwi fanyeni ujinga wenu wabongo kwa wabongo kuibiana kazi za sanaa lakini usithubutu kugusa Marekani utapigwa faini ambayo inalingana na bajeti ya nchi au utaozea jela mwizi wewe.

Team ya Michael Jackson itakushikisha adabu hivi karibuni. Ulishindwa kutunga wimbo si bora ungeimba Taarabu au Singeli? Mlokole Jambazi wewe huna haya? Una aibisha walokole wenzako.

Aliyeibiwa: Michael Jackson - "Will You Be There"
Ushahidi:

Mwizi: Rose Muhando - "You Are My Mountain "
Ushahidi:

Mbona unateseka na vitu vigooogo sana

Yaani marehemu M. Jackson aje kuhangaika na mgogo?

Wangapi mmesampo ngoma za 2PAC, BIG au kutumia biti ya STILL ya DR DRE?

Mwanaume unaanzaje kuwa na wivu

Ingia YuTube uone ngoma kibao zilivyorudiwa kama zilivyo
 
Rose Muhando dawa yako iko jikoni inachemka siku sio nyingi utainywa.

Huyu muimbaji Rose Muhando pamoja na kujisifu kuwa ni mcha Mungu kumbe ni mwizi. Dhambi hii uliyoifanya kwa Michael Jackson itakuchoma hapa hapa duniani kupitia Team nzima ya usimamizi wa kazi za Michael Jackson.

Baada ya kazi ya utunzi wa nyimbo za injili kukushinda ukaona afadhali uibe wimbo wa Michael Jackson - "Will You Be There" ukausampo na producer wako mjinga asiyefahamu makucha ya Wamarekani yalivyomakali mkadanganyana mtengeneze Rose Muhando - "You Are My Mountain"

Ninyi watu mnaojinadi kuwa wacha Mungu ndio mnaongoza kwa maovu mabaya yanayowashinda Wapagani. Rose nakupa taarifa kuwa Marekani huwa hawaibiwi fanyeni ujinga wenu wabongo kwa wabongo kuibiana kazi za sanaa lakini usithubutu kugusa Marekani utapigwa faini ambayo inalingana na bajeti ya nchi au utaozea jela mwizi wewe.

Team ya Michael Jackson itakushikisha adabu hivi karibuni. Ulishindwa kutunga wimbo si bora ungeimba Taarabu au Singeli? Mlokole Jambazi wewe huna haya? Una aibisha walokole wenzako.

Aliyeibiwa: Michael Jackson - "Will You Be There"
Ushahidi:

Mwizi: Rose Muhando - "You Are My Mountain "
Ushahidi:

Kawaida wabongo kusample nyimbo za mbele mbona yani ni zaidi ya kawaida siku hizi wanasample hadi za manaija bila hata kulipia.
 
Kawaida wabongo kusample nyimbo za mbele mbona yani ni zaidi ya kawaida siku hizi wanasample hadi za manaija bila hata kulipia.
Ni hatari sana, hii ya Rose inatisha kwasababu amevuka mpaka, hapo amewachokoza Team kubwa za Michael Jackson wakiwemo Sony Music USA, MJJ Records, etc ambazo wanafanya uchunguzi waje na maamuzi
 

Attachments

  • Screenshot_20230705-214946.png
    Screenshot_20230705-214946.png
    12.6 KB · Views: 6
Huyu mama ni mjinga sana hajelewi nani alimwambia wasanii wa Marekani wanaibiwa kazi?
Sasa wewe mbona ndo una ghadabu zaidi dhidi ya Rose Mhando kuliko hata hao Wamarekani?! Shida yako ni nini hasa?
Kuna mahali hao Wamarekani wamekuja kukuletea wewe malalamiko yao?
 
Marekani wamechelewa kupata taarifa kwasababu nyimbo zetu hazifiki kule ila kwa sisi watetezi wa Michael Jackson chamoto utakipata Rose
Braza hacha ushabiki maandazi ..........badala ya kutetea bandari isiondoke wewe unareta porojo za Rose mhando...... .Acha kukaza fuvu hilo jua hata mjuu wako anaweza kuja kuwa site foreman bandari .......wewe pigania hili hilo la Rose muhachie Michael na walokore wenzake.......utapata maua yako....
 
Braza hacha ushabiki maandazi ..........badala ya kutetea bandari isiondoke wewe unareta porojo za Rose mhando...... .Acha kukaza fuvu hilo jua hata mjuu wako anaweza kuja kuwa site foreman bandari .......wewe pigania hili hilo la Rose muhachie Michael na walokore wenzake.......utapata maua yako....
Ndugu yangu Rose na Producer wake wote wezi
Bandari nipo nasubiri muanze kuingia msituni na mtutu na mm nije huko na Tanzanian MauMau II War
 
Mbona umechelewa kujua wimbo una zaidi ya miaka miwili ndio unakulupuka Leo 🤔🤔 Kwani wewe ndie msmamizi wa kazi za Michael Jackson 🤔🤔 wabongo kazi kujitia ujuaji
 
Mbona umechelewa kujua wimbo una zaidi ya miaka miwili ndio unakulupuka Leo 🤔🤔 Kwani wewe ndie msmamizi wa kazi za Michael Jackson 🤔🤔 wabongo kazi kujitia ujuaji
Ndio, mimi ni msimamizi wa kazi za Michael Jackson, ID yangu ya JF imekufanya wewe kunichukulia kama mshamba
 
Mbona umechelewa kujua wimbo una zaidi ya miaka miwili ndio unakulupuka Leo [emoji848][emoji848] Kwani wewe ndie msmamizi wa kazi za Michael Jackson [emoji848][emoji848] wabongo kazi kujitia ujuaji
Na zaidi, anaonyesha ana chuki binafsi na Rose! Makasiriko yamezidi mpaka! Anazidi hata familia nzima ya ile J5!
 
Huwezi kuwa muimbaji na usiwe mwizi hata huyo maiko aliiba sehemu akabadili,kazi ya muziki uanza na kuiba kisha unabadili
 
Sheria ya hati miliki iko hivi,beati ni mali ya producer mashairi ni mali ya msanii.Hivyo atakayeshitakiwa ni producer.Lakini sampling ni kitu cha kawaida kwenye mziki.Kama kapewa ruhusa kuna shida gani.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom