dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
๐ ๐ ๐ ๐ limenipata kwenye mshono hapa nauguliaNaona kitengo wa Chanika jiwe limekufikia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐ ๐ ๐ ๐ limenipata kwenye mshono hapa nauguliaNaona kitengo wa Chanika jiwe limekufikia.
Kumbe mna Masaki... Chanika kama Texas Naskia.๐ ๐ ๐ ๐ limenipata kwenye mshono hapa naugulia
Masaki ya wazaramo, iko mbele kabisa huko Mnyoko ndani ndani dadekiKumbe mna Masaki... Chanika kama Texas Naskia.
Mtanzania mwenzio huyo mshauri, povu LA nini? Una ugomvi naye?Rose Muhando dawa yako iko jikoni inachemka siku sio nyingi utainywa.
Huyu muimbaji Rose Muhando pamoja na kujisifu kuwa ni mcha Mungu kumbe ni mwizi. Dhambi hii uliyoifanya kwa Michael Jackson itakuchoma hapa hapa duniani kupitia Team nzima ya usimamizi wa kazi za Michael Jackson.
Baada ya kazi ya utunzi wa nyimbo za injili kukushinda ukaona afadhali uibe wimbo wa Michael Jackson - "Will You Be There" ukausampo na producer wako mjinga asiyefahamu makucha ya Wamarekani yalivyomakali mkadanganyana mtengeneze Rose Muhando - "You Are My Mountain"
Ninyi watu mnaojinadi kuwa wacha Mungu ndio mnaongoza kwa maovu mabaya yanayowashinda Wapagani. Rose nakupa taarifa kuwa Marekani huwa hawaibiwi fanyeni ujinga wenu wabongo kwa wabongo kuibiana kazi za sanaa lakini usithubutu kugusa Marekani utapigwa faini ambayo inalingana na bajeti ya nchi au utaozea jela mwizi wewe.
Team ya Michael Jackson itakushikisha adabu hivi karibuni. Ulishindwa kutunga wimbo si bora ungeimba Taarabu au Singeli? Mlokole Jambazi wewe huna haya? Una aibisha walokole wenzako.
Aliyeibiwa: Michael Jackson - "Will You Be There"
Ushahidi:
Mwizi: Rose Muhando - "You Are My Mountain "
Ushahidi:
Acha uchizi hangaika na maisha Yako wewe!Hii haina kulala haina kuchekeana lazima huu wizi ukomeshwe Michael Jackson amefariki lakini mimi mtetezi wake nipo lazima nifike Los Angeles sipendi wizi mimi
Lakini ni pumba tupuJamaa umeandika uzi kwa uchungu...
Mbona matusi yamekua makubwa kulikoni??Huyu mama ni mjinga sana hajelewi nani alimwambia wasanii wa Marekani wanaibiwa kazi?
Mkuu kuna kibao kiko njiani kuhit rose muhando kamshirikisha Taylor swift wimbo everything i don't do i don't do it for you. Bonge la songi.ipi, ile ya mbele ya Nzasa kule au ? Wa b.
Nipo Los Angeles kwenye Makumbusho ya Michael Jackson nampigania nipeni siku chache muone ngoma inayompasukia huyo mwizi. Dadadeki jana nilisema ngoma hailali sikuwa nawatania nipo serious sana na hii kitu. Mwizi mkubwaDu, umemtukana Sana huyu mama inaonekana na wewe ni mwimbaji ila tungo zako zimebuma. Ungeelezea vizuri alchofanya Rose bila kashfa ungeelweka. Kwa levo yako wewe huna uwezo wa kusema Fulani kaiba wimbo wa Michael , vipo vyombo vinasimamia issue kama hizo wao ndo wangesema au wangelalamika .Hata hivyo Mimi sio shabiki wa Rose lakini Kwa muziki wa gospel Rose huko juu. Mimi ni ipenda kwaya ya Mt Kizito . AMANI NA SALAMA
Hiyo nyimbo ipo ktk platforms zipi?Cosota na USA Copyright Gov hazifanani hata 10%. Wao hawacheki na kima