Rose Muhando mwizi wa wimbo wa Michael Jackson

Rose Muhando mwizi wa wimbo wa Michael Jackson

Nyimbo Ina miaka miwili mtandaoni na hakuna kilichotokea. Au ndo unaipigia promo maana nimelazimika kuiangalia nakutana na two years ago.
 
Rose Muhando dawa yako iko jikoni inachemka siku sio nyingi utainywa.

Huyu muimbaji Rose Muhando pamoja na kujisifu kuwa ni mcha Mungu kumbe ni mwizi. Dhambi hii uliyoifanya kwa Michael Jackson itakuchoma hapa hapa duniani kupitia Team nzima ya usimamizi wa kazi za Michael Jackson.

Baada ya kazi ya utunzi wa nyimbo za injili kukushinda ukaona afadhali uibe wimbo wa Michael Jackson - "Will You Be There" ukausampo na producer wako mjinga asiyefahamu makucha ya Wamarekani yalivyomakali mkadanganyana mtengeneze Rose Muhando - "You Are My Mountain"

Ninyi watu mnaojinadi kuwa wacha Mungu ndio mnaongoza kwa maovu mabaya yanayowashinda Wapagani. Rose nakupa taarifa kuwa Marekani huwa hawaibiwi fanyeni ujinga wenu wabongo kwa wabongo kuibiana kazi za sanaa lakini usithubutu kugusa Marekani utapigwa faini ambayo inalingana na bajeti ya nchi au utaozea jela mwizi wewe.

Team ya Michael Jackson itakushikisha adabu hivi karibuni. Ulishindwa kutunga wimbo si bora ungeimba Taarabu au Singeli? Mlokole Jambazi wewe huna haya? Una aibisha walokole wenzako.

Aliyeibiwa: Michael Jackson - "Will You Be There"
Ushahidi:

Mwizi: Rose Muhando - "You Are My Mountain "
Ushahidi:
Mtanzania mwenzio huyo mshauri, povu LA nini? Una ugomvi naye?
 
Mtoto wa kiume wewe punguza chuki zisizo na sababu! Utafikiri wewe ndo umeibiwa huo wimbo ulivyo na gubu
 
Childhood mates wa Rose Muhando mnaitwa mumtetee mwimbaji wa nyimbo za Mungu.
Mwambie afute haraka wimbo huo kila kwenye soko la music aliloweka lasivyo nitaushusha mimi dadadek famasihara na Michael Jackson bana.
 
Du, umemtukana Sana huyu mama inaonekana na wewe ni mwimbaji ila tungo zako zimebuma. Ungeelezea vizuri alchofanya Rose bila kashfa ungeelweka. Kwa levo yako wewe huna uwezo wa kusema Fulani kaiba wimbo wa Michael , vipo vyombo vinasimamia issue kama hizo wao ndo wangesema au wangelalamika .Hata hivyo Mimi sio shabiki wa Rose lakini Kwa muziki wa gospel Rose huko juu. Mimi ni ipenda kwaya ya Mt Kizito . AMANI NA SALAMA
 
Du, umemtukana Sana huyu mama inaonekana na wewe ni mwimbaji ila tungo zako zimebuma. Ungeelezea vizuri alchofanya Rose bila kashfa ungeelweka. Kwa levo yako wewe huna uwezo wa kusema Fulani kaiba wimbo wa Michael , vipo vyombo vinasimamia issue kama hizo wao ndo wangesema au wangelalamika .Hata hivyo Mimi sio shabiki wa Rose lakini Kwa muziki wa gospel Rose huko juu. Mimi ni ipenda kwaya ya Mt Kizito . AMANI NA SALAMA
Nipo Los Angeles kwenye Makumbusho ya Michael Jackson nampigania nipeni siku chache muone ngoma inayompasukia huyo mwizi. Dadadeki jana nilisema ngoma hailali sikuwa nawatania nipo serious sana na hii kitu. Mwizi mkubwa
 
Back
Top Bottom