Rose Muhando: Nafikiria kurudi kwenye Uislamu


Porojo @ work
 
Alivyokua anakata viuno vyake bora arudi huko nao akawakatikie mauno yake

Tena huko kwao anakotaka arudi dhabi hukemewa mwezi mmoja tu.....huku kila siku anakemewa ndiyo maana ameshindwa
 
Alikuwa anamuhubiri Yesu yupi? au aliokoka ili kujipatia kipato?
 
pole zake, imani ni mahusiono ya mtu binafsi na Mungu, asidhani hao watu ndio watakuwa kisingizio cha yeye kutokuokoka.
Kama ametapeli pesa arudishe tu hakuna masihara kwenye pesa za watu hata uwe mtumishi wa Mungu...
na pia ajue makwazo hayana budi kuja
 
Kama ni kweli basi mi naona ni bora aanzishe dini yake yenye Mungu anayekubali matapeli maana hata dini ya kiislam haikubaliani na utapeli.Hata wapagani wenye mioyo safi hawakubaliani na utapeli.
 
Arudi kwenye dini ya kweli na haki!
dini inayomtambua mungu mmoja tu,
Mungu asiyekuwa na mshirika hata,
muhammad ni mjumbe wake,
Mungu asiyezaliwa wala kuumbwa,munguasiyezaa,

Mungu ambae anasamehe,ukitubu kwa dhati
 
Hivi ile mimba yake ilikuwaje? Yaani huwa anahama imani kwa kuangalia watu wanamfanyia nini sio kumtafuta mungu, huwezi kufanikiwa kwa kusubolo huruma ya mwanadamu


Mkuu kusubolo ndio nn?
 
Arudi kwenye dini ya kweli na haki!
dini inayomtambua mungu mmoja tu,
Mungu asiyekuwa na mshirika hata,
muhammad ni mjumbe wake,
Mungu asiyezaliwa wala kuumbwa,munguasiyezaa,

Mungu ambae anasamehe,ukitubu kwa dhati

Hata akirudi hatawafaa kitu maana yeye anaangalia maslahi tu.
 
Huy u Rozi alipofikia akipewa Bomu akajilipue hashindwi. Serikali imuangalie kwa ukaribu.
 
Inamaana alivyohama aliambiwa kuwa atapendwa na watu wote au? Yesu peke yake ndio anaempenda hao wengine watafataa na pia huwez kuchukiwa na dunia asikilize nyimbo zake Mara ya pili ujumbe aliokuwa anautoa kwa watu na yeye aufuate
 
ameichumaa,alikua kibiarshara zaidi,aondoke akanengue kwenye madanguro,aibu tu madhabahuni safari njema
 
ameichumaa,alikua kibiarshara zaidi,aondoke akanengue kwenye madanguro,aibu tu madhabahuni safari njema

Aibu ya kwenye madhabahu ni kunengua tu ila kufungisha ndoa za jinsia moja ni busara sio? Kama leo anatangaza kuondoka ndo unasema aibu, kipindi yupo ulikuwa unashangilia! Dumb nut!
 
hatapata show tena toka kwa wakristo,akapige kaswida
 

Nakupa hela Unasema bahati mbaya umeshindwa kufika?maniner zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…