permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
anavyosema anaaibisha wakristo maana yake nini?
Acha ligi zisizo za msingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anavyosema anaaibisha wakristo maana yake nini?
Carefully about what?...
Kuna mahali nimesema uislam unataka maovu??
Sipendi kuongelea udini so mind your business.
Ukristo si lLelemama Ukristo ni Msalaba ni kujitoa Ukipigwa shavu la kulia unageza na shavu la kushoto,Mtu akikunyang'anya kibaragashia mpe na Kanzu kabisa na mtu akikulazimisha kwenda kilomita moja basi nenda naye kilomita mbili.Hivyo Rose kama ameshindwa na kuamua kula Matapishi yake Mwenyewe basi tumuachie mwenyewe aamue kusuka au kunyoa kulikoni kuwa Malaya wa Ki-DINI.
We mbwiga kweli hupend kuongelea udin, huku unakumbatia udini. Ovyooo
Ndooorobo wewe, usinrukanie muumini wangu.
Jifunze kuitii nafsi iliyo nyonge wewe mnywa uji wa NGAMA. Next time ukiombwa suluhu maliza kiutu uzima.