Rose Muhando: Safari ya mateso, huzuni, furaha hatimae ushindi

Rose Muhando: Safari ya mateso, huzuni, furaha hatimae ushindi

Pamoja na kwamba mimi ni Muislam, nampenda sana Rose Muhando. Yani nampenda kuliko ninavyoweza kuelezea.
Hakuna album wala wimbo wake ambao haupo katika simu yangu.

Hizi ni nyimbo zangu bora zaidi kutoka kwake...
1. Mteule uwe macho: Huu wimbo nahisi alisaidiwa na malaika kuuandika, ujumbe na vingi alivyoimba vinatokea hii leo!
Yalikuwa maono. Huu ndio wimbo wangu bora wa muda wote wa injili.

2. Kumbe ndivyo ulivyo: Huu wimbo nikiusikiliza huwa hadi nalia, aliimba kwa hisia kali na ni wimbo wa faraja. Nyakati
zangu za huzuni huwa nausikiliza sana.

3. Akina mama: Huku wanawake tumechambwaaaa, ila una mafunzo na nitayazingatia. Lol

4. Nakaza mwendo: Ni wimbo uliojaa matumaini na kutokujali sana ya dunia, naupenda.

5. Nibebe: Nafikiri huu ndio wimbo mkubwa zaidi kutoka kwake, ulikuwa ufunguo wake kimataifa. Ujumbe wake
sidhani kama nahitaji kuuelezea. Una majonzi ya uchungu wa usaliti kutoka kwa watu wa kuaminika.

6. Ee Mungu nitakushukuru: Huu wimbo huwa nausikiliza kila ninapohitaji kujikumbusha ukubwa wa Mungu na kuomba
kwake busara na hekima.
Nafikiri uko kwenye evolution stage.unatoka kwenye dini unaelekea kwenye IMANI ambayo ndiyo msingi wa mahusiano.
Watu wanadhani katika dini tunapata imani,ila kumbe katika IMANI ndo tunapata dini.
 
Pamoja na kwamba mimi ni Muislam, nampenda sana Rose Muhando. Yani nampenda kuliko ninavyoweza kuelezea.
Hakuna album wala wimbo wake ambao haupo katika simu yangu.

Hizi ni nyimbo zangu bora zaidi kutoka kwake...
1. Mteule uwe macho: Huu wimbo nahisi alisaidiwa na malaika kuuandika, ujumbe na vingi alivyoimba vinatokea hii leo!
Yalikuwa maono. Huu ndio wimbo wangu bora wa muda wote wa injili.

2. Kumbe ndivyo ulivyo: Huu wimbo nikiusikiliza huwa hadi nalia, aliimba kwa hisia kali na ni wimbo wa faraja. Nyakati
zangu za huzuni huwa nausikiliza sana.

3. Akina mama: Huku wanawake tumechambwaaaa, ila una mafunzo na nitayazingatia. Lol

4. Nakaza mwendo: Ni wimbo uliojaa matumaini na kutokujali sana ya dunia, naupenda.

5. Nibebe: Nafikiri huu ndio wimbo mkubwa zaidi kutoka kwake, ulikuwa ufunguo wake kimataifa. Ujumbe wake
sidhani kama nahitaji kuuelezea. Una majonzi ya uchungu wa usaliti kutoka kwa watu wa kuaminika.

6. Ee Mungu nitakushukuru: Huu wimbo huwa nausikiliza kila ninapohitaji kujikumbusha ukubwa wa Mungu na kuomba
kwake busara na hekima.
Dah unazikumbuka vizuri nyimbo zake. We itakua sio muislamu kiviiile.
 
Huyu mama ana balaa.....
Ni aibu wabongo tulifurahia anguko lake, i dont care anachoimba ni gospel au lah but ana balaa.
 
Kama ukristo ndo dini ya kweli mbona kuna waislamu 1.8b duniani, kwanini na wao wasimuone yesu kitandani kama rose?

Tuwe tunajiuliza haya maswali
Kama islamic ni dini ya kweli, mbona kuna wasio waislamu 5.2b duniani, kwanini wasimuamini Allah kama hao 1.8b?

Tuendelee kujiuliza haya maswali
 
neno la Mungu ni nyundo... Ooh

Ni nyundo .....

Neno la Mungu ni nyundo ooooh ni nyundo....

Tuko live na pasta Pius mwiru kutoka Nairobi Kenya......
secretarybird uje nikuombee
Kumbe pasta Pius Mwiru bado yuko hai!
Zamani nilikuwa namsikiliza kupitia KBC kutoka nchini Kenya. Alikuwa na sauti fulani yenye kukwaruza na Kila alipotaka kufungua kipindi kwenye redio alipenda kusema "... Ndugu msikilizajiiiii....."

Umenikumbusha mbali!
 
Kumbe pasta Pius Mwiru bado yuko hai!
Zamani nilikuwa namsikiliza kupitia KBC kutoka nchini Kenya. Alikuwa na sauti fulani yenye kukwaruza na Kila alipotaka kufungua kipindi kwenye redio alipenda kusema "... Ndugu msikilizajiiiii....."

Umenikumbusha mbali!
Oyaah unaipata mpaka KBC Taifa, sauti ni ya mkenya 😂😂

Sijajua maake toka simu janja zimekuja ni muda sijawahi sikiliza radio Ila jamaa alikuwa vizuri sana.....
 
Oyaah unaipata mpaka KBC Taifa, sauti ni ya mkenya 😂😂

Sijajua maake toka simu janja zimekuja ni muda sijawahi sikiliza radio Ila jamaa alikuwa vizuri sana.....
KBC sauti ya mkenya nilikuwa naisikiliza miaka ya nyuma Sana enzi hizo redio nyingi zilikuwa za AM.
Nilikuwa simkosi Mwiru na kama unavyojua kipindi kilikuwa kinasindikizwa na ngoma ya kilokole isemayo "....ohhhh! Lulu, ohhhhh Lulu..."

Hahahaha!
 
KBC sauti ya mkenya nilikuwa naisikiliza miaka ya nyuma Sana enzi hizo redio nyingi zilikuwa za AM.
Nilikuwa simkosi Mwiru na kama unavyojua kipindi kilikuwa kinasindikizwa na ngoma ya kilokole isemayo "....ohhhh! Lulu, ohhhhh Lulu..."

Hahahaha!
Nipo mbingunii

Mmmmmh.... aaaaaah aah

kweli ndani ya Yesu Kuna Raha ya ajabu,

Isiyo na mwisho

Kweli ni kama nii mmmmmh

Nakumbuka Faza alikuwa ikifika saa mbili kwenda saa tatu ndo alikuwa anatega hicho kipindi,

Aseeh vya kale ni dhahabu ina bring back memories miaka ya 2010 kurudi nyuma ......

Aseeh tumezeeka,
 
Nipo mbingunii

Mmmmmh.... aaaaaah aah

kweli ndani ya Yesu Kuna Raha ya ajabu,

Isiyo na mwisho

Kweli ni kama nii mmmmmh

Nakumbuka Faza alikuwa ikifika saa mbili kwenda saa tatu ndo alikuwa anatega hicho kipindi,

Aseeh vya kale ni dhahabu ina bring back memories miaka ya 2010 kurudi nyuma ......

Aseeh tumezeeka,
Hapo umenena madini matupu mkuu😂😁
 
Back
Top Bottom