alisema castro then akabadili akasema peterDa'Mange kaumbuka tena mchana kweupee. Duh, eti oh mimi huwaga sikosei nasema Casto ni baba wa Patrick sijui nini. Sasa mama kasema baba wa marehemu ni nani.
Unacho shangilia ni nini sasa, eti wanawake ni jeshi kubwa, sasa kama muna alipewa hela akate tiketi ya ndege yeye akachukua bus huoni kama mtoto alicheleweshwa, kichwa kibovu kweliWoyoooooooo wanawake ni jeshi kubwa
Mpuuzi sana huyu da'Mange ingawa kawashika akili wafuasi wake.alisema castro then akabadili akasema peter
Mtoto wa Casto mlezi Peter mbona habari ndo ziko hvyo...huyo mange hapa umemuonea tuDa'Mange kaumbuka tena mchana kweupee. Duh, eti oh mimi huwaga sikosei nasema Casto ni baba wa Patrick sijui nini. Sasa mama kasema baba wa marehemu ni nani.
Ushindwe na ulegee!Tuanze kuwadhibiti wao sasa, kwani mafundi hatuwajuhi? Wewe jiulize mtu hana hela na ana wake wawili wazuri kabisa na anawamega peke yake.
Dawa yao sasa tuanze kuwadhiti wao kwa ndumba maana wameshashindikana, na huyo Muna unaambiwa hapo ndio mlokole sasa wasiomjuwa hata Mungu kabisa balaa lake likoje?
siio wote wengne wangese tuWoyoooooooo wanawake ni jeshi kubwa
Nishindwe vipi wakati mafundi nawajuwa? Si mmezoea kutugeuza mazezeta sasa zamu yenu.Ushindwe na ulegee!
Sana aangalie mchezo unavyoenda nakumbuka kisa cha wanawake wawili waliojifungua siku moja mmoja wa kwake akafa usiku alipoona vile akaenda kubadilisha mfu na aliye hai, mama wa mtoto aliye hai akajua kua wa kwake ndo yule mzima wakabishana mwisho wakaenda kwa nabii suleyman akawaambia km mnagombania mwana basi na huyu tumchinje yule wa kwake aliyekufa akakubali fasta achinjwe wakose wote,yule mwenye damu yake akasema hapana mpe mwenzangu!!casto akae kimya tu.... this too shall pass!!
Jina lake ni Maimunahahaha anaitwa nungu
Hili jambo linanishangaza saana!Aiseee hivi umefiwa Na mwanao unapata wapi nguvu ya kupost insta Na kusoma comments!
wanawake wa Siku hizi ......
Ameshaona fursa jamani[emoji51][emoji51][emoji51]Kumbe familia ndo imemsihi daah mzee wa fursa keshatudanganya kuwa yeye ndo kambembeleza muna akubali misiba uwe kwa bwana Peter
View attachment 803208
Mlokole feki tu!aliyeingia kwa kichaka cha kutaka mwanawe apone!Tuanze kuwadhibiti wao sasa, kwani mafundi hatuwajuhi? Wewe jiulize mtu hana hela na ana wake wawili wazuri kabisa na anawamega peke yake.
Dawa yao sasa tuanze kuwadhiti wao kwa ndumba maana wameshashindikana, na huyo Muna unaambiwa hapo ndio mlokole sasa wasiomjuwa hata Mungu kabisa balaa lake likoje?
aisee yawezekana eee ,,,umeelezea vzrSana aangalie mchezo unavyoenda nakumbuka kisa cha wanawake wawili waliojifungua siku moja mmoja wa kwake akafa usiku alipoona vile akaenda kubadilisha mfu na aliye hai, mama wa mtoto aliye hai akajua kua wa kwake ndo yule mzima wakabishana mwisho wakaenda kwa nabii suleyman akawaambia km mnagombania mwana basi na huyu tumchinje yule wa kwake aliyekufa akakubali fasta achinjwe wakose wote,yule mwenye damu yake akasema hapana mpe mwenzangu!!
Mshindi akawa yule aliyesema asichinjwe..
Kwa hili sperms donors ni Casto ndo maana yuko kimya tu! Anajuta kwa nini alikataa na hakuna mtu mwenye maumivu km Casto
Ofcourse ni jeshi la MAPIMBIWoyoooooooo wanawake ni jeshi kubwa
Wameshindwa kudhibitika kwa PESA...Tuanze kuwadhibiti wao sasa, kwani mafundi hatuwajuhi? Wewe jiulize mtu hana hela na ana wake wawili wazuri kabisa na anawamega peke yake.
Dawa yao sasa tuanze kuwadhiti wao kwa ndumba maana wameshashindikana, na huyo Muna unaambiwa hapo ndio mlokole sasa wasiomjuwa hata Mungu kabisa balaa lake likoje?
Rose Alphonce NunguJina lake ni Maimuna