Rose Nungu (Munalove), akubali kupeleka msiba nyumbani kwa baba wa Patrick

Rose Nungu (Munalove), akubali kupeleka msiba nyumbani kwa baba wa Patrick

Tuanze kuwadhibiti wao sasa, kwani mafundi hatuwajuhi? Wewe jiulize mtu hana hela na ana wake wawili wazuri kabisa na anawamega peke yake.

Dawa yao sasa tuanze kuwadhiti wao kwa ndumba maana wameshashindikana, na huyo Muna unaambiwa hapo ndio mlokole sasa wasiomjuwa hata Mungu kabisa balaa lake likoje?
Ushindwe na ulegee!
 
casto akae kimya tu.... this too shall pass!!
Sana aangalie mchezo unavyoenda nakumbuka kisa cha wanawake wawili waliojifungua siku moja mmoja wa kwake akafa usiku alipoona vile akaenda kubadilisha mfu na aliye hai, mama wa mtoto aliye hai akajua kua wa kwake ndo yule mzima wakabishana mwisho wakaenda kwa nabii suleyman akawaambia km mnagombania mwana basi na huyu tumchinje yule wa kwake aliyekufa akakubali fasta achinjwe wakose wote,yule mwenye damu yake akasema hapana mpe mwenzangu!!

Mshindi akawa yule aliyesema asichinjwe..

Kwa hili sperms donors ni Casto ndo maana yuko kimya tu! Anajuta kwa nini alikataa na hakuna mtu mwenye maumivu km Casto
 
Tuanze kuwadhibiti wao sasa, kwani mafundi hatuwajuhi? Wewe jiulize mtu hana hela na ana wake wawili wazuri kabisa na anawamega peke yake.

Dawa yao sasa tuanze kuwadhiti wao kwa ndumba maana wameshashindikana, na huyo Muna unaambiwa hapo ndio mlokole sasa wasiomjuwa hata Mungu kabisa balaa lake likoje?
Mlokole feki tu!aliyeingia kwa kichaka cha kutaka mwanawe apone!
 
Sana aangalie mchezo unavyoenda nakumbuka kisa cha wanawake wawili waliojifungua siku moja mmoja wa kwake akafa usiku alipoona vile akaenda kubadilisha mfu na aliye hai, mama wa mtoto aliye hai akajua kua wa kwake ndo yule mzima wakabishana mwisho wakaenda kwa nabii suleyman akawaambia km mnagombania mwana basi na huyu tumchinje yule wa kwake aliyekufa akakubali fasta achinjwe wakose wote,yule mwenye damu yake akasema hapana mpe mwenzangu!!

Mshindi akawa yule aliyesema asichinjwe..

Kwa hili sperms donors ni Casto ndo maana yuko kimya tu! Anajuta kwa nini alikataa na hakuna mtu mwenye maumivu km Casto
aisee yawezekana eee ,,,umeelezea vzr
 
Tuanze kuwadhibiti wao sasa, kwani mafundi hatuwajuhi? Wewe jiulize mtu hana hela na ana wake wawili wazuri kabisa na anawamega peke yake.

Dawa yao sasa tuanze kuwadhiti wao kwa ndumba maana wameshashindikana, na huyo Muna unaambiwa hapo ndio mlokole sasa wasiomjuwa hata Mungu kabisa balaa lake likoje?
Wameshindwa kudhibitika kwa PESA...

.... Sasa ni kipigo tu.. Kipigo tuh..

Hawana Ahsante hawa ..
 
Back
Top Bottom