TANZIA Rose Nyerere, Mtoto wa Mwisho wa J.K Nyerere afariki dunia

TANZIA Rose Nyerere, Mtoto wa Mwisho wa J.K Nyerere afariki dunia

Viongozi wote wa nchii ndiyo siku zote wanatibiwa hapo na hospital hiyo inavifaa vya kisasa na mazingira yake si mchezo
Na hapo wapo madaktari wazuri tu
Narudia tena kiongozi yoyote nchi lazima ataenda kutibiwa hapo sema kutokana na mazingira yalipo huwezi ona picha picha
Ila siyo kama najimwambafay nimebahatika kuingia hapo kuna baba wa jamaa yangu mmja alikuwaga boss mkubw T-- tulienda usiku kumtembelea hospital si mchezo hutaamini kama iko bongo
Sema kama unavyojua kwenye kufa mwanadam lazima afe

Ova
Ulienda kumtembelea Nyau alivyopata ajali?
 
Sisi inatusaidia nn mtoto wa nyerere kufariki? Kuna wapigania uhuru kibao wamekufa hata hatuna habari nao. Upuuzi kwelikweli
 
Mtoto WA baba WA taifa amefia Dispensary alipolazwa kwa muda mrefu.

Nilimfundisha mwanae miaka ya nyuma kidogo maisha ya huyu mtoto WA Nyerere yalikuwa ya chini sana sana.
Sad. First family hakika ni kwa nini kama imetelekezwa? Wajue tu kuwa wanayofurahia sasa ni matunda ya baba wa Taifa hili. Hivi serikali huwa haihusiki na hizi familia? Mbona wengine mnapeana mansions siku Chache zilizopita? Inaniuma mno.
 
Sana, na alikua anasaidia sana watu,niliwahi kwenda kwake,Upanga huko,Loan Board walikua wanazingua,akanipeleka kwa Mwenyekiti wa Loan Board enzi hizo alikua Nimrord Mkono,Mkono akapiga simu tukaenda kwa Mkurugenzi wa HESLB,tukaenda hadi kule,siku hiyo hiyo mkopo wangu ukawa fresh,nikaambiwa baada ya siku tano mzigo utajaa! Kweli bwana,ilikua jumanne,ijumaa mzigo huo! Mother was very humble,na still akanipa number yake,na bado akanipa na pesa kidogo kabla ya mzigo wa bodi hujazama
Hawa ndiyo binadamu. Yaani familia wanasali pia sana. Yaani sijui nisemeje.
 
Viongozi wote wa nchii ndiyo siku zote wanatibiwa hapo na hospital hiyo inavifaa vya kisasa na mazingira yake si mchezo
Na hapo wapo madaktari wazuri tu
Narudia tena kiongozi yoyote nchi lazima ataenda kutibiwa hapo sema kutokana na mazingira yalipo huwezi ona picha picha
Ila siyo kama najimwambafay nimebahatika kuingia hapo kuna baba wa jamaa yangu mmja alikuwaga boss mkubw T-- tulienda usiku kumtembelea hospital si mchezo hutaamini kama iko bongo
Sema kama unavyojua kwenye kufa mwanadam lazima afe

Ova
Waambie tu kuwa iko paleee jirani na ........... Chemk hivi naye si alikuwa hapo? Japo haikutajwa
 
Back
Top Bottom