Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Hapana huyo ni Rose.Hii picha ni ya Anna, ibadilishe tafadhali!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana huyo ni Rose.Hii picha ni ya Anna, ibadilishe tafadhali!
Familia ya Mwalim haipewi uzito inaostahili. R.I.P Rose
Rose huyo. Anna ni mweupe na ni Mzee, ni mtoto wa pili.Mimi pia hiyo picha ilinichanganya kwani si ya Rose.
Tushukuru sana ndugu zetu Kenya pamoja na tahadhari zote bado hadi marubani wao wanateketea tu na madaktari.Corona tumeiua kwa maombi na haipo nchini. Nasema uongo ndugu zangu!!
Muongo. Huyu ni Rosemary.Hii picha ni ya Anna, ibadilishe tafadhali!
Mkuu jana iliwekwa ya Anna wkt taarifa inatoka cool downMuongo. Huyu ni Rosemary.
Mme wake alishafariki,alikua anafanya kazi Tanesco,watoto ndiyo anao!! She was very humble,very cool,she was kama sio mtoto wa Nyerere, No makeke kabisa kama kina Rizimoko
Hivi pale huwa Pana specialist wa fani gani hasaItakuwa ni ile ya pale Victoria pale bila shaka
Imeingiliwa na waduduHuyo mdau aliyecomment, alitaja wawili nazani huyo john na Andrew, hii thread imeshaingiliwa tayari naona kuna kitu kinafichwa.
Ulitaka kuandika nini ?Hivi Dr ulimboka ali
Hivi pale huwa Pana specialist wa fani gani hasa
Viongozi wote wa nchii ndiyo siku zote wanatibiwa hapo na hospital hiyo inavifaa vya kisasa na mazingira yake si mchezoHiyo MZENA hospital ina madactari bingwa kweli?
Binadam kwa lawama bwana achaa tuMnapenda sana kulaumu, unajua alikuwa anauguzwa na nani. Unaijua hiyo hospital aliyokuwa amelazwa iko wapi?
Hapana we ndo unaechanganya hio picha ndo ya Rose halisi kabisa si ya Anna hapana picha iko sahihi.Hii picha ni ya Anna, ibadilishe tafadhali!
Uzito kama upi.Familia ya Mwalim haipewi uzito inaostahili. R.I.P Rose